Naona sasa unakaribia kutuaga haya chezea jadi.......Na usije ukafa umesimama
He kumbe unachagua ee
Very Sad indeed, huyu ni mtangazaji wa pili, wa TBC kupoteza maisha akiwa studio, on the microphone, ndani ya kipindi cha miaka 2!.
Wa kwanza ni Halima Mchuka!.
Wote walikuwa studio, kazini, wakitangaza live, ghafla walikosa pumzi, wakakosa nguvu, na kuanguka studio end of the story!.
Very Sad in deed!.
RIP Sam Chamlomo!.
Pasco
Very Sad indeed, huyu ni mtangazaji wa pili, wa TBC kupoteza maisha akiwa studio, on the microphone, ndani ya kipindi cha miaka 2!.
Wa kwanza ni Halima Mchuka!.
Wote walikuwa studio, kazini, wakitangaza live, ghafla walikosa pumzi, wakakosa nguvu, na kuanguka studio end of the story!.
Very Sad in deed!.
RIP Sam Chamlomo!.
Pasco
My classmates tuliosoma wote advance jamhur 2008 !!! R.I.P
Jamaa amemaliza degree yake mwaka jana pale Saut Mwanza. R.i.p komredi
Haya ndio mapigo ya ARV,mtu anaondoka na kilo zake pasi na kuamini!
My classmates tuliosoma wote advance jamhur 2008 !!! R.I.P
Ile ya JK kwenda kumtembelea Muhimbili, ilikuwa ni siku nyingi, akapona akarudi kazini, siku alipoitwa jumla, alikuwa Studio akitangaza, ametoka kula akaingia studio na chupa ya soda amekunywa nusu, akiwa live kwenye mic, akaishiwa nguvu, akataka kuanguka, Mtangazaji Swedy Mwinyi akamzuia kumshika, ndipo akatolewa studio kwa kubebwa hadi Muhimbili, ndio safari!. Ile soda aliyoiacha studio. ilibaki vile vile na pale pale more than seven days!.Ila Halima Mchuka alilazwa siku nyingi hakufa ghafla. Mpaka JK alienda kumtembelea Muhimbili.
Tembelea mitaa hiiHalima Mchuka alishafariki?? Sijasikia muda kweli hii tbc fm ndio napata taarifa toka kwako
r.i.p samwel