Samweli Chamulomo augua Bungeni ghafla na kufariki

Samweli Chamulomo augua Bungeni ghafla na kufariki

Pumnzika kwa amani Mpendwa.

attachment.php
 

Attachments

  • Chamlomo.jpg
    Chamlomo.jpg
    29.2 KB · Views: 10,095
Ukiyasoma kwa haraka maandishi ya mleta mada utaona kama kuna mkanganyiko kidogo wa lugha...

Usipotafakari unaweza kudhani chanzo cha kifo hicho ni spika wa bunge...

Niliposoma headline nikajua chanzo cha kifo ni spika....R.I.P CHAMLOMO
 
Huyu ndie halikuwa anakata matangazo kila hakiona wapinzani wanatoa hoja.bye bye

swissme
 
Hili bunge linaua watangazaji wetu kwa presha sasa. Pengine alifariki wakati akijaribu kuzima matangazo baada ya mjadala kuwaka moto.
 
Ni wangapi waliofariki ie wabunge,wafanyakazi wa bunge na wote wanaofanya kazi kwa karibu na bunge tangu 2010 to date.
 
Haya ndio mapigo ya ARV,mtu anaondoka na kilo zake pasi na kuamini!
 
Mbona mie sijaona?au star tv wameruka hicho kipengele?nipo luningani kunako saa 3, kwaheri mtangazaji na pole kwa famil

Madam Speaker wakati anaanzisha Bunge alianza mwanzon kabisa kwa tangazo la msiba huo!
 
Back
Top Bottom