Samwel Sitta: Magufuli anashauriwa vibaya!

Samwel Sitta: Magufuli anashauriwa vibaya!

Kasema hivyo baada ya kuona zile wizara 4 zilizokuwa zimebaki zimejazwa na hatanafasi za ubunge wa kuteuliwa na Mh raisi nazo ndio zinayoyoma ,sasa kaziiliyobaki ni kuwa mwenyekiti wa wakulimawa tumbaku na wale wa kurina asali baasi,yatosha.


Bora hata uenyekiti wa tumbaku na asali, huyu ni mwenyekiti wa family yake

Tuombe media wamuulize hivi yeye bado ni spika? Je haoni kama anasubiri kudhalilishwa atakapoondolewa humo kwa nyumba ya spika?
 
Kuna kitu watu hawakijui kumhusu Magufuli, hoja ya kuwa anashauriwa vibaya sii hoja, kwasababu Magufuli ninayemfahamu mimi, hashauriki, na hana hata chembe ya busara!, Magufuli ni mtu wa maamuzi magumu kwa haraka, pupa na papara!.

Wengine hili tuliliona na tukalisema mapema tuu!, tena huu ni mwanzo!, nawaambieni subirieni tuu, na ikitokea akanogewa na urais, kile kipengele cha two 5 yeas terms kitaondoka and no one can stop himi!, mtaniambia!.
[h=3]If you can't beat them, join them! He is the worst dictator.[/h][h=3]Kwa Kasi Hii ya Magufuli na "Hapa Kazi Tuu", Hivi Kweli Kuna [/h] Merry X-mass & Prosperous NY!.

Pasco

itabidi afungwe speed gavana
 
Kuna kitu watu hawakijui kumhusu Magufuli, hoja ya kuwa anashauriwa vibaya sii hoja, kwasababu Magufuli ninayemfahamu mimi, hashauriki, na hana hata chembe ya busara!, Magufuli ni mtu wa maamuzi magumu kwa haraka, pupa na papara!.

Wengine hili tuliliona na tukalisema mapema tuu!, tena huu ni mwanzo!, nawaambieni subirieni tuu, na ikitokea akanogewa na urais, kile kipengele cha two 5 yeas terms kitaondoka and no one can stop himi!, mtaniambia!.
[h=3]If you can't beat them, join them! He is the worst dictator.[/h][h=3]Kwa Kasi Hii ya Magufuli na "Hapa Kazi Tuu", Hivi Kweli Kuna [/h] Merry X-mass & Prosperous NY!.

Pasco

Inafurahisha kweli eti PAPARA,MKURUPUKAJI NK.

PASCO naona kabisa bado hajaelewa hii ngozi nyeusi,,,, Africa ni shida nasema bado tunahitaji uongozi zaidi ya wa Magufuli maana tuko wagumu sana wa kutii UONGOZI BORA NA UADILIFU fikiria mtu anapataje confidence ya kuibia serikali mabillions ya pesa nk. Nini hapa kinahitajika kama sio maamuzi magumu ikiwemo kuwatimuatimua in bora watu wajawe na woga ambao baadae utakua transformed into accountabilities.....
 
Malofa na wapumbavu wa aina ya Sitta wako wengi sana ndani ya CCM kinachowafanya wasionekane ni mafuta wanayopakwa na CCM.
 
Laana ya kusigina maoni ya watanzania itamtafuna mpaka siku anaingia kaburini
 
Kama Mwalimu Magufuli anafuata ushauri wa watu, basi ana washauri wazuri sana. Maana anaendelea kufanya maamuzi mazuri na sahihi.

Viongozi wa mashirika makubwa ya kitaifa ambayo yalitakiwa yawanyanyue Watanzania lakini kinyume chake yakawa vichaka vya unyonyaji na wizi lazima waajibishwe kama anavyofanya Magufuli. Namuomba sasa ageukie NDC asafishe huo uchafu. We are fed up with their excuses; let them give way to leaders with vision.

Sasa huyu Magufuli tumeona utekekelezaji wake kwa zaidi ya miaka kumi. Some of us stated, more than ten years ago, that Magufuli was presidential material.

Sitta has lost both vision and moral authority. He is a used politician with no future and with a very poor past. Apumzike kabla hajajiabisha zaidi.
 
Kuna kitu watu hawakijui kumhusu Magufuli, hoja ya kuwa anashauriwa vibaya sii hoja, kwasababu Magufuli ninayemfahamu mimi, hashauriki, na hana hata chembe ya busara!, Magufuli ni mtu wa maamuzi magumu kwa haraka, pupa na papara!.

Wengine hili tuliliona na tukalisema mapema tuu!, tena huu ni mwanzo!, nawaambieni subirieni tuu, na ikitokea akanogewa na urais, kile kipengele cha two 5 yeas terms kitaondoka and no one can stop himi!, mtaniambia!.
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator.

Kwa Kasi Hii ya Magufuli na "Hapa Kazi Tuu", Hivi Kweli Kuna

Merry X-mass & Prosperous NY!.

Pasco
naunga mkono hoja anayebisha asome historia ya hitler alianzanje,aliingia kwa nia za kidemokrsia alivyonogewa sasa,wameshaanza kupiga marufuku mikutano ya kisiasa kwa vyma sasa si vifutwe tu tujue tuko korea kaskazini
 
Kila neno la mwanadam Lina mchanganyiko wa uongo na ukweli, inategemea tu upi ni mwingi, ama uongo au ukweli.
 
Ni rahisi kumsamehe JK makosa yote aliyotufanyia but Sitta kosa la kuchakachua katiba ya wananchi(ambayo ingeleta Tanzania Mpya) kamwe hatuwezi msamehe.
Kula TANO mkuu....siku hizi waficha kitufe cha LIKE
 
Huu utawala utawaacha kando wenye akili wengi na kuchukua mashabiki....CC: Nicholas
Mkuu JF unajua sipo sana inatia kichefuchefu sana. Its a matter of time CCM wanaishi kwa mafuta ya kijiko.Hizi hypes za magufuli zinamwandaa kupata aibu kubwa zaidi.na ndipo mafuta ya ccm yataiasha kabisa. Kinachotokea ni magufuli kutafuta umaarufu wa muda na kuvuta masikio ya watu wengi zaidi ili atakapochemsha zaidi watu wengi wamsikie na kumwona. Watz wanakuwa radicallized kwa level ambayo siku wataamka hawatataka tena uongo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hapo kwenye kijani doo!! Ah ha ha haaaa!! nyamniniMasikini
Sita ameamua kujidhalilisha kama kweli katoa kauli hiyo kweli ana haki ya kustaafu siasa,

Nakumbuka alipokuwa spika wa bunge la tisa kuna wakati aliwahi kumwambia kikwete aongeze ukali kidogo.

Sasa hivi tumepata raisi mkali asiyevumilia uovu anasema anashauriwa vibaya nini maana yake?

Huyu ni wa kupuuzwa apumuzike tu.
Tena akae kimya vinginevyo yeye mwenyewe atakuwa jipu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu JF unajua sipo sana inatia kichefuchefu sana. Its a matter of time CCM wanaishi kwa mafuta ya kijiko.Hizi hypes za magufuli zinamwandaa kupata aibu kubwa zaidi.na ndipo mafuta ya ccm yataiasha kabisa. Kinachotokea ni magufuli kutafuta umaarufu wa muda na kuvuta masikio ya watu wengi zaidi ili atakapochemsha zaidi watu wengi wamsikie na kumwona. Watz wanakuwa radicallized kwa level ambayo siku wataamka hawatataka tena uongo.

Mkuu kwanza heri ya Christmas

Nimekumention hapa makusudi nikikumbuka ule Uzi wako uliosema Magufuli ni too manual hafai kuwa kiongozi na uliyosema yote yanatokea na cha kufurahisha wanaCCM wenyewe wameanza kulia kwa ajili yake.....
 
Back
Top Bottom