Samwel Sitta: Magufuli anashauriwa vibaya!

Samwel Sitta: Magufuli anashauriwa vibaya!

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Katika ile dhana ya kusoma namba, ni wazi imeendelea kuwatafuna wanachama wa chama changu. Katika gazeti la leo, aliyekuwa spika wa bunge la tisa ametoa kali na kusema Rais Magufuli anashauriwa vibaya. Hasa baada ya kutumbua jipu la Reli.

Samwel Sita, kasema Magufuli kachukua hatua hiyo baada ya kushauriwa vibaya, na vile vile ingemfaa achukue muda wa kujiridhisha kwanza!...

Mtanzania, 24.12.2015
 

Attachments

  • 1450933075598.jpg
    1450933075598.jpg
    37.4 KB · Views: 17,753
Cha kushangaza ni kuwa washauri wake wanasema mh rais ashauriki!!!!!!!!Kweshinei mh sitta
 
Masikini Sita ameamua kujidhalilisha kama kweli katoa kauli hiyo kweli ana haki ya kustaafu siasa,

Nakumbuka alipokuwa spika wa bunge la tisa kuna wakati aliwahi kumwambia kikwete aongeze ukali kidogo.

Sasa hivi tumepata raisi mkali asiyevumilia uovu anasema anashauriwa vibaya nini maana yake?

Huyu ni wa kupuuzwa apumuzike tu.
Tena akae kimya vinginevyo yeye mwenyewe atakuwa jipu.
 
Sitta alipita hiyo wizara ilikuwa ni business as usual alafu leo anaongea nini sijui. Kusimamisha mtu kupisha uchunguzi kuna ubaya gani kama kitu kipo sawa uchunguzi utajieleza. Sitta anafahamika kwa vinyongo bado hakubali kuwa waliyemchukulia poa sasa ndio rais.
 
Ni yule mpuuzi aliyekuwa kinara wa kuchakachua maoni yetu ya katiba? aishie porini.
 
Mgambo wanaruka na kukanyagana.Wanaruka kinyamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Kuna kitu watu hawakijui kumhusu Magufuli, hoja ya kuwa anashauriwa vibaya sii hoja, kwasababu Magufuli ninayemfahamu mimi, hashauriki, na hana hata chembe ya busara!, Magufuli ni mtu wa maamuzi magumu kwa haraka, pupa na papara!.

Wengine hili tuliliona na tukalisema mapema tuu!, tena huu ni mwanzo!, nawaambieni subirieni tuu, na ikitokea akanogewa na urais, kile kipengele cha two 5 yeas terms kitaondoka and no one can stop himi!, mtaniambia!.
[h=3]If you can't beat them, join them! He is the worst dictator.[/h][h=3]Kwa Kasi Hii ya Magufuli na "Hapa Kazi Tuu", Hivi Kweli Kuna [/h] Merry X-mass & Prosperous NY!.

Pasco
 
Pasco umeongea vema..maana hapa janvini kuna watu wameanza kupiga debe magu akae miaka 20 anyooshe nchi..
 
Last edited by a moderator:
Kuna kitu watu hawakijui kumhusu Magufuli, hoja ya kuwa anashauriwa vibaya sii hoja, kwasababu Magufuli ninayemfahamu mimi, hashauriki, na hana hata chembe ya busara!, Magufuli ni mtu wa maamuzi magumu kwa haraka, pupa na papara!.

Wengine hili tuliliona na tukalisema mapema tuu!, tena huu ni mwanzo!, nawaambieni subirieni tuu, na ikitokea akanogewa na urais, kile kipengele cha two 5 yeas terms kitaondoka and no one can stop himi!, mtaniambia!.
[h=3]If you can't beat them, join them! He is the worst dictator.[/h][h=3]Kwa Kasi Hii ya Magufuli na "Hapa Kazi Tuu", Hivi Kweli Kuna [/h] Merry X-mass & Prosperous NY!.

Pasco

Mbona Wanyarwanda wameendelea kumuamini Kagame tena kwa Wingi.
Magu akitutoa tulipo akae milele.
 
Kuna kitu watu hawakijui kumhusu Magufuli, hoja ya kuwa anashauriwa vibaya sii hoja, kwasababu Magufuli ninayemfahamu mimi, hashauriki, na hana hata chembe ya busara!, Magufuli ni mtu wa maamuzi magumu kwa haraka, pupa na papara!.

Wengine hili tuliliona na tukalisema mapema tuu!, tena huu ni mwanzo!, nawaambieni subirieni tuu, na ikitokea akanogewa na urais, kile kipengele cha two 5 yeas terms kitaondoka and no one can stop himi!, mtaniambia!.


Pasco.

Merry X-mass & Prosperous NY!.

Promotion of Functioning government and responsible citizens. Join us or Leave us free, we will make history!
 
Back
Top Bottom