Samwel Sitta ampiga bao Lowassa urais 2015

Samwel Sitta ampiga bao Lowassa urais 2015

Tanzaniaist

Senior Member
Joined
Nov 29, 2011
Posts
161
Reaction score
158
Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!

Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!

Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao

+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi

Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...
 
Naona Sitta naye anaingiza mamluki wake wa kumpigia debe humu JF.
sittapayroll.jpg
 
Kila siku kupiga debe tu!! Debe debe kwa kwenda mbeleeeeee.
 
Sitta ni mnafiki namba mmoja kutokea Tanzania

ANAISHI KWENYE NYUMBA YA SPIKA
ALIONGEZA MARADUFU MARUPURUPU YA WABUNGE
ALIZIMA DOWANS
ALIUNGA MKONO POSHO
ALIANZISHA CCJ
ALIJIJENGEA JENGO LA USPIKA KWAO
kwahiyo hapa unatushauri Lowasa ndiye anafaa zaidi kwa uraisi 2015?
 
sitta ni mnafiki namba mmoja kutokea tanzania

anaishi kwenye nyumba ya spika
aliongeza maradufu marupurupu ya wabunge
alizima dowans
aliunga mkono posho
alianzisha ccj
alijijengea jengo la uspika kwao

marupurupu ya sasa yamezidi
 
Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!

Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!

Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao

+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi

Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...

Hangover noma!
 
Naona sita amekupa notes uje uzitume humu JF kupima upepo. Maelezo yako tu yanaonyesha aliyeandika ni mzee anayetafuta ushawishi kwa vijana.

Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!

Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!

Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao

+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi

Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...
 
dalili mojawapo ya umaskini wa mawazo ni kujadili watu badala ya kujadili hoja (issue), mtu unapokuja hapa unatueleza majina ya watu na umaarufu au uchafu wao inanipa tabu kidogo.tuangalie mambo muhimu yanayolikabili taifa kama vile kuporomoka kwa thamani ya shilingi,kupanda kwa bei za bidhaa muhimu na ni jinsi gani ya kuweza kutatua.
 
Kwenye Dowans sikubalian nawe,maana ALIUZIMA MJADALA WA RICHM0ND ambayo ndo DOWANZ!HUKUMBUKI?AU UMEAMKA NA MNING'INIKO?
Kajipange
Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!

Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!

Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao

+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi

Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom