Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 2,036
- 4,281
Amemaliza vibaya sana heri angeachia madaraka mapema asingefikia hatua hii
Bibi umemstahi sana, she is a devilAmeua watu wengi sana uyo Bibi
sikujua km anaroho mbaya hivi
Hzi post zenu zisizo na maadili zinalikosesha heshima jukwaa letu. Ifikie mahala tuweze kujiongoza wenyewe tuwapunguzie kazi ma moderators
Post zako ndo hazina maadili wala utu, sababu roho ya mtu unaiona kama roho ya panzi. Bora mchawi kuliko huyo mama yako Muuwaji.Hzi post zenu zisizo na maadili zinalikosesha heshima jukwaa letu. Ifikie mahala tuweze kujiongoza wenyewe tuwapunguzie kazi ma moderators
utaahira wa viwango vya juu kabisaMateso mengine hapa duniani ni ya kujitakia. Unaua watu hovyo na kuwatesa/kuwateka/kuwafunga wengine, halafu wewe mwenyewe unaishi kama digidigi.
Yaani huyu mama anajuta,anatamani jana iludi iwe leoLisu kazuiliwa na gereza na analindwa na askari magereza tu ili asije akachoropoka. Umma na dunia yote wako naye kwa sala na maombi. Tuzo na nyadhifa zinamfuata huko huko gerezani. Kuta za gereza hazimfanyi Lisu kutokuonekana wa hazimnyimi usingizi.
Samuya yuko gereza la kukataliwa na watanzania, analindwa sana ili nafsi yake isije ikachoropoka. Gereza hili halina kuta zinazoshikika, lkn zinampoteza kabisa Samuya kwenye uso wa dunia. Uhuru wake hauoni hata kwenye kuta 4 za chumba chake. Umma wa watanzania na dunia yote unamng'ong'a. Mashitaka na tuzo za uovu zinamfuata chumbani kwake alikofichwa.
Samuya hata akilamba sukari, ulimi wake unampa taarifa kuwa kalamba shubiri. Samuya yuko gereza baya kuliko lile la Lisu.
Lisu kazuiliwa na gereza na analindwa na askari magereza tu ili asije akachoropoka. Umma na dunia yote wako naye kwa sala na maombi. Tuzo na nyadhifa zinamfuata huko huko gerezani. Kuta za gereza hazimfanyi Lisu kutokuonekana wa hazimnyimi usingizi.
Samuya yuko gereza la kukataliwa na watanzania, analindwa sana ili nafsi yake isije ikachoropoka. Gereza hili halina kuta zinazoshikika, lkn zinampoteza kabisa Samuya kwenye uso wa dunia. Uhuru wake hauoni hata kwenye kuta 4 za chumba chake. Umma wa watanzania na dunia yote unamng'ong'a. Mashitaka na tuzo za uovu zinamfuata chumbani kwake alikofichwa.
Samuya hata akilamba sukari, ulimi wake unampa taarifa kuwa kalamba shubiri. Samuya yuko gereza baya kuliko lile la Lisu.
Nani? Anjela nn!Mbwa wa Samuya wanaohangaika wakati mwenyewe yupo Mkunazini anakunwa na mkunaji wake.
Jamaica 🇯🇲ENDELEA KUWA MZALENDO NA LINDA TASWIRA NZURI YA NCHI YAKO🇯🇲
🇹🇿Why umetumia bendera ya Jamaica 🇯🇲
Jamaica 🇯🇲
Inafikirisha sana, Samuya hana tena nafasi ya kujitoa kutoka gerezani la hapa nyumbani wala lile la ICC The Hague Uholanzi hilo amelibaini
KARMA IMEMKUMBA SAMIA
TOKA MAKTABA :
24 August 2024
RAIS SAMIA ATAKA SIMBA AITWE TUNDU LISSU - WATU WOTE WACHEKA -"MMEMPA JINA GANI? AITWE TUNDU LISSU"
View: https://m.youtube.com/watch?v=UXFoyKtbEEA
Pamoja na machawa wake wengineNani? Anjela nn!