fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,689
- 24,013
Ben unashangaa nini tena na wewe? Hawa watu sasa hivi ni shagalabagala, hakuna uongozi wa pamoja ndani ya serikali. Kila mtu anatoa tamko lake kama alivyofikiri usiku akiwa na wife kisha linakuwa la serikali.
Mwisho wa siku jambo moja Rais kalisemea vile,waziri vile,Nape kivyake na hata watendaji wengine vyao. Utadhani tafrija yenye pombe nyingi kuliko waalikwa.
Nakusahihisha kidogo mkuu. Nape hawezi kutoa tamko la serikali bali la chama. Mawaziri na rais ndio wenye dhamana ya kutoa matamko ya serikali.