Samuel Sitta aonekana kulowa jasho!

Samuel Sitta aonekana kulowa jasho!

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,701
Reaction score
6,936
DSC02649.JPG


Jamani naona kama Samuel Sitta amelowa jasho kutokana na hilo shati alilovaa. Je, katoka jasho kwa sababu ya hoja za wazanzibari? Je, ukumbi hauna Air con? Je, ni afya njema? Je, ni matumizi makubwa ya 'energy' katika kufikiri kuwa anachokifanya hapo ni usanii kwa kulazimishwa na chama chake? Je, hakupatiwa maji ya kunywa ya kutosha kama inavyoonekana kwa jamaa aliyekaa kulia kwake (Mzanzibari) ikiwa ni ishara ya kuvunja Muungano? Je, alitaka kuvua hilo shati maanake alikwisha anza kufungua vifungo/ vishikizo?
 
joto jingi kama hakuna feni wala kiyoyozi unategemea nini:bored::rip:
 
joto jingi kama hakuna feni wala kiyoyozi unategemea nini:bored::rip:
kijumba chenyewe hicho cha mikutano kilivyopigika kitakuwa na AC hicho? Wanadai ni Watanganyika ndio tumefanya wame losti. Tuwaacheni waende na salama. Eff Muungano.
 
Mzee wetu ana shida ya kutokwa jasho sana na habari zisizo thibitshwa zinasema kila mwezi huwa anenda India kuchoma sindano ya kupunguza jasho
 
Huko kulowa umekonaje?

Leo mara baada ya kuoga usijifute halafu vaa khanga moja halafu kajitazame kwenye kioo then utapata jibu. Au kwa nini wanawake wakitoka bafuni taulo inakuwa juu ya khanga? Ingawaje inategemea na bafu kwani mimi niko Manzese.
 
DSC02649.JPG


Jamani naona kama Samuel Sitta amelowa jasho kutokana na hilo shati alilovaa. Je, katoka jasho kwa sababu ya hoja za wazanzibari? Je, ukumbi hauna Air con? Je, ni afya njema? Je, ni matumizi makubwa ya 'energy' katika kufikiri kuwa anachokifanya hapo ni usanii kwa kulazimishwa na chama chake? Je, hakupatiwa maji ya kunywa ya kutosha kama inavyoonekana kwa jamaa aliyekaa kulia kwake (Mzanzibari) ikiwa ni ishara ya kuvunja Muungano? Je, alitaka kuvua hilo shati maanake alikwisha anza kufungua vifungo/ vishikizo?

Acha ushamba, hilo shati ni la mtelezo flani, ndo style yake ilivyo au watoto wa mjini sikuizi wanaitwa swaga, hamna jasho hapo, au hujawahi kuona mashati ya mtelezo?
 
DSC02649.JPG


Jamani naona kama Samuel Sitta amelowa jasho kutokana na hilo shati alilovaa. Je, katoka jasho kwa sababu ya hoja za wazanzibari? Je, ukumbi hauna Air con? Je, ni afya njema? Je, ni matumizi makubwa ya 'energy' katika kufikiri kuwa anachokifanya hapo ni usanii kwa kulazimishwa na chama chake? Je, hakupatiwa maji ya kunywa ya kutosha kama inavyoonekana kwa jamaa aliyekaa kulia kwake (Mzanzibari) ikiwa ni ishara ya kuvunja Muungano? Je, alitaka kuvua hilo shati maanake alikwisha anza kufungua vifungo/ vishikizo?

Sasa huyo Mzanzibari kama ulivyosema mbona anatoa uchafu kutoka kwenye pua yake hadharani? Au hiyo ndio tabia ya Unguja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom