Samsungs wanashida gani?

Vipi mkuu kuhusu nokia,bei na chaji......namanisha simu nzuri latest
 
Yani wana maanisha screen on time non stop sio ukiwasha data siku nzima
 
Sikatai A12 ni bora zaid ya A10s ila katika hizo nyanja mbili A12 hamkuti a10s, nakushauri shika simu zote mbili zikiwa na conditions sawa halafu njoo uniambie.
 
mAh ni nini? Unaposema 2000 au 7000 mAh .huwa nini kinamaanishwa? Tofauti ya 2000 mAh na 7000mAh ni nini?
 
mAh ni nini? Unaposema 2000 au 7000 mAh .huwa nini kinamaanishwa? Tofauti ya 2000 mAh na 7000mAh ni nini?
Ni uwezo wa battery kukaa na chaji, mfano kama battery ya simu yako ina 4000mah na inakaa masaa 10 na chaji, inamaanisha simu inatumia 400 milliapere kwa lisaa. Simu hiyo hiyo ikiwekwa battery yenye 2000mah itakaa na chaji masaa ma 5.
 
Mkuu unaweza fafanua zaidi kuhusu hii Kampuni na hayo ulosema kuhusu lowend
Nokia alishaacha kutengeneza Simu toka 2013, Kampuni ya sasa inayotengeneza simu za Nokia (HMD) wamenunua tu Haki za kutumia Hilo Jina, sio Nokia wenyewe.

Na lowend ni simu zenye specs ndogo na za bei rahisi most of time Laki 3 kushuka Chini.
 
Ni uwezo wa battery kukaa na chaji, mfano kama battery ya simu yako ina 4000mah na inakaa masaa 10 na chaji, inamaanisha simu inatumia 400 milliapere kwa lisaa. Simu hiyo hiyo ikiwekwa battery yenye 2000mah itakaa na chaji masaa ma 5.
Thanxx
 
Nokia alishaacha kutengeneza Simu toka 2013, Kampuni ya sasa inayotengeneza simu za Nokia (HMD) wamenunua tu Haki za kutumia Hilo Jina, sio Nokia wenyewe.

Na lowend ni simu zenye specs ndogo na za bei rahisi most of time Laki 3 kushuka Chini.
Duuuh kama ndo hivyo kazi tunayo,hii nadhani ndo ya Bill Gates?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…