Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,861
- 828
nimeona ktk mtandao fulani huko makao makuu ya apple watu kadhaa wanashinda nje wakisubiri iphone 6 itoke ili wawe wa jwanza kuimiliki.tehetehe
nimeona ktk mtandao fulani huko makao makuu ya apple watu kadhaa wanashinda nje wakisubiri iphone 6 itoke ili wawe wa jwanza kuimiliki.tehetehe
Galaxy note 4 haina jipya, ila hii note 4 edge imeleta innovation kidogo hapo kwenye hiyo curved screen. ingawa kwa left ended ni useless,,,, ,, kila mtu macho na masikio hadi sasa ni tar 9 sep, Apple akichemka tu hii note edge ndio simu ya mwaka ikifuatiwa na LG g3,,, . ila IFA kabla haijaisha nangoja Lumia series nione maana Nokia by Microsoft brand imetuhaidi "SuperMan" Cc: chief-mkwawa
nimeona ktk mtandao fulani huko makao makuu ya apple watu kadhaa wanashinda nje wakisubiri iphone 6 itoke ili wawe wa jwanza kuimiliki.tehetehe
Mkuu hilo ni kweli kbs, yani j4 watu watapanga foleni (niliona mwaka jana kwenye ip5), uzuri wake hawana umaskini ka sisi! Sisi utamaduni huo hatuna na pesa pia mawazo
Mfano Mimi ndo najiandaa kununua iPhone 5
Tuko wengi mkuu, all the best we andaa hiyo $1,100 tu j4 sio mbali
Mkuu hilo ni kweli kbs, yani j4 watu watapanga foleni (niliona mwaka jana kwenye ip5), uzuri wake hawana umaskini ka sisi! Sisi utamaduni huo hatuna na pesa pia mawazo
Mkuu hilo ni kweli kbs, yani j4 watu watapanga foleni (niliona mwaka jana kwenye ip5), uzuri wake hawana umaskini ka sisi! Sisi utamaduni huo hatuna na pesa pia mawazo
Hahahahaahaa wenzako hata hizo bado ni bei kubwa kwa mshahara wa TGSD mkuu
Mkuu hiyo ni income ya wiki moja kwa kupiga box
Cc: lusungo
kumbe s5 haikuwa flagship ya samsung mwaka huu,maana karibu flagship zao zote zipo ktk serie ya s. s3,s4
note ni flagship ya phablet wakati s series ni flagship ya smartphone
chief mkwawa you meant kumbe note zote ni phablet na s zote ni smartphone?
mweee hayo makeke ya display sijayapenda maana wife atakua anakulia chabo vizuuri...
note zote ni phablets ndio zinakuwa kubwa na ni ngumu kutumia kwa mkono mmoja. zinakuja na kalamu na zinauwezo wa kurun app mbili kwa mpigo.