Samsung wametoa Galaxy Note Edge flagship

Samsung wametoa Galaxy Note Edge flagship

Galaxy note 4 haina jipya, ila hii note 4 edge imeleta innovation kidogo hapo kwenye hiyo curved screen. ingawa kwa left ended ni useless,,,, ,, kila mtu macho na masikio hadi sasa ni tar 9 sep, Apple akichemka tu hii note edge ndio simu ya mwaka ikifuatiwa na LG g3,,, . ila IFA kabla haijaisha nangoja Lumia series nione maana Nokia by Microsoft brand imetuhaidi "SuperMan" Cc: chief-mkwawa

Apple huwa hawachemki, yaani iphone huwezi linganisha na any other smartphone.
 
die hard wa apple walishaanza kupanga foleni tayari, mimi pia ni die hard wa apple lakini kwa leaks nazoziona mitandaoni kama ndiyo wanabadili design kiasi hicho basi watanikosa, nitabaki na 5s yangu na nitanunua note edge maana imenivutia

I phone 5s mpya bei gani dukani?
 
Apple huwa hawachemki, yaani iphone huwezi linganisha na any other smartphone.

safari hii kuna kila dalili ya kuchemka, mimi ni apple kufa kupona, lakin hapa naona kila dalili za kuzidiwa kete upande wa design.
 
Inatumia OS ipi? Vipi kuhusu ukubwa Wa betri ni mAh ngapi?
Galaxy-Note-Edge-Galaxy-Note-4.jpg
 
Galaxy note 4 haina jipya, ila hii note 4 edge imeleta innovation kidogo hapo kwenye hiyo curved screen. ingawa kwa left ended ni useless,,,, ,, kila mtu macho na masikio hadi sasa ni tar 9 sep, Apple akichemka tu hii note edge ndio simu ya mwaka ikifuatiwa na LG g3,,, . ila IFA kabla haijaisha nangoja Lumia series nione maana Nokia by Microsoft brand imetuhaidi "SuperMan" Cc: chief-mkwawa
simu hii ina uwezo wa kugeuka side zote, na ina uwezo wa kudetect kama wewe ni left hand user ama la kwa jinsi ambavyo unaitumia home button kila mara, baada ya muda ina ji set yenyewe, so hawajachemka kwa left hands
p9013839-1.jpg
 
safari hii kuna kila dalili ya kuchemka, mimi ni apple kufa kupona, lakin hapa naona kila dalili za kuzidiwa kete upande wa design.

Kwanza tu kuiga phablets keshachemka, achukia masimu makubwa!
 
Kwanza tu kuiga phablets keshachemka, achukia masimu makubwa!

steve jobs alikataa habari ya masimu makubwa. hata kama wanafuata trend ya phablets kwa vile soko lina wateja wengi sku hizi basi wangecheza na ipad mini, ile wangetengeza phablet badala ya tablet.
 
mweee hayo makeke ya display sijayapenda maana wife atakua anakulia chabo vizuuri...
 
[h=2]Find the Weakness and Strength of the 3 mostly talked about in the world kwa sasa..
Samsung Galaxy Note 4 specs versus LG G3, Sony Xperia Z3[/h]
Samsung Galaxy Note 4 LG G3 Sony Xperia Z3
Dimensions 6 x 3.1 x 0.34 inches (153.5 by 78.6 by 8.5mm) 5.76 x 2.94 x 0.35 inches (146.3 x 74.6 x 8.9mm) 5.75 x 2.83 x 0.29 inches (146 x 72 x 7.3mm)
Weight 6.2 ounces (176g) 5.26 ounces (149g) 5.36 ounces (152g)
Display 5.7-inch Quad HD Super AMOLED (2,560x1,440) 5.5-inch Quad HD LCD (2,560x1,440) 5.2-inch 1080p HD LCD (1,920x1,080)
Pixel density 515 ppi 538 ppi 524 ppi
OS Android 4.4, TouchWiz Android 4.4.2, custom UI Android 4.4.4, custom UI
Camera, video 16-megapixel; 4K video (3,840x2,160) 13-megapixel; 4K video (3,840x2,160) 20.7-megapixel; 4K video (3,840x2,160)
Front-facing camera 3.7-megapixel, wide-angle selfie 2.1-megapixel 2.2-megapixel
Processor 2.7GHz Snapdragon 805 or 1.9GHz octa-core chipset 2.5GHz quad-core Snapdragon 801 2.5GHz quad-core Snapdragon 801
RAM 3GB 3GB 3GB
Capacity 32GB 32GB 16GB
Extra storage Up to 64GB Up to 128GB Up to 128GB
Battery 3,300mAh 3,000mAh 3,100mAh
Colors White, black, gold, pink Black, white, gold, violet, red White, black, copper, mint green
Waterproof? No No Yes
Extras Heart-rate monitor, fingerprint scanner, stylus Rear controls, knock code, laser camera focus Play PS4 games

Do either t
 
Haya tena wale wapenzi wa teknolojia hasa gajeti, leo Samsung wamezindua flagship yao kutoka familia ya Galaxy note amabyo inakwenda kwa jina la Samsung Galaxy Note edge.

Simu hii ina kioo klichojikunja tofauti na flat screen tulizozoea, kwa sasa hii ndio highest end phone kutoka Samsung.

samsung-unpacked-galaxy-note-edge-12_2040_verge_super_wide.jpg

Note Edge ina sifa zifuatazo, inaelekea kufanana kiasi na ndugu yake Note 4. Yenyewe ina metallic design, It has the same soft-touch back, blissfully without the fake stitching. Ina kamera yenye 16-megapixel, heart-rate monitor, processor, memory, software, Multi Window feature, kila kitu kama ndugu yake note 4.

samsung-unpacked-galaxy-note-edge-9_2040_verge_super_wide.jpg

Kwa sasa hii ndio simu kutoka samsung yenye nguvu kuliko simu zote. Ina Quad HD, 2560 x 1440 display kama kwenye Note 4, Ila hii kioo chake ni kidogo kidooogo ambayo ni inchi 5.6 tofauti na 5.7 ya note 4.


Wakati huo huo

Sony nao wamezindua familia ya simu na tablet za Z3 ambazo ni xperia z3, z3 compact na Z3 tablet compact


sony-xz3-375_verge_super_wide.jpg




sony-xz3-381_verge_super_wide.jpg




vyanzo: theverge.com

wanataka kututia umaskini,,, kila cku kitu kipyaaa,,,,
 
Tarehe 9/9 apple wanarusha iPhone 6 version mbili. Kubwa 5.7 na ndogo yake, bei ni $1100

Umenitangulia kaka,nilitaka kusema kuwa nasubiri huo mzigo kama muendelezo wangu kumuenzi Jobs. Nina iphone 5,,macbook pro,,ipad 2,,sasa nasubiri huo mzigo.
 
Umenitangulia kaka,nilitaka kusema kuwa nasubiri huo mzigo kama muendelezo wangu kumuenzi Jobs. Nina iphone 5,,macbook pro,,ipad 2,,sasa nasubiri huo mzigo.

Mh


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Galaxy note 4 haina jipya, ila hii note 4 edge imeleta innovation kidogo hapo kwenye hiyo curved screen. ingawa kwa left ended ni useless,,,, ,, kila mtu macho na masikio hadi sasa ni tar 9 sep, Apple akichemka tu hii note edge ndio simu ya mwaka ikifuatiwa na LG g3,,, . ila IFA kabla haijaisha nangoja Lumia series nione maana Nokia by Microsoft brand imetuhaidi "SuperMan" Cc: chief-mkwawa

Left hand user ndio tutafaidi hiyo simu maana tunatumia dole gumba la kushoto ambalo ni flexible kwenda kulia. Right hand user yeye dole gumba ni flexible kwenda kushoto bro!
 
Umenitangulia kaka,nilitaka kusema kuwa nasubiri huo mzigo kama muendelezo wangu kumuenzi Jobs. Nina iphone 5,,macbook pro,,ipad 2,,sasa nasubiri huo mzigo.

Tuko wengi mkuu, all the best we andaa hiyo $1,100 tu j4 sio mbali
 
Back
Top Bottom