Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,715
- 39,802
1. Ngumu kupata updatesHapa nimekusoma sawasawa, zinakuwa na matatizo gani simu za aina hiyo!
2. Hujui kwanini ilirudishwa na kutengenezwa tena, ama kama ilitengenezeka vizuri. Hapa ndio unakuta simu muda wote inapata joto ama haikai na chaji.
3. Inaweza kuwa na lugha za kigeni.
4. Bands chache ikawa haishiki 4g ama 3g.
5. Haishiki network vizuri etc