Samsung S21s Official Released This evening

Samsung S21s Official Released This evening

No more expanded storage na charger 25watts charging speed mhhh ngoja turudi kwenye midrange tu
 
No more expanded storage na charger 25watts charging speed mhhh ngoja turudi kwenye midrange tu
wakiona mmemwagikia huko wanaweka premium features kisha wanauza bei za hizi flagship.

kwa wakati huu sioni umuhimu wa expendable storage maana kuna option za usb storage nk.

ila pale kwenye charger kuchafua mazingira ndio naomba msaada aliyeelewa jamani binafsi sielewi.
 
Hiyo simu ya Samsung 21s inanipa faida gani. Faida ya simu ni kupiga, kupokea, whatsapp, instagram na kuandika message thats all. Nini tena cha zaidi ya kutumia gharama eti kununua samsung 21s ya nini?.
Ww ni kitu gani huwa unaweza nunua bei kubwa? Kuna watu wananunua perfume 500k mzee

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Daah aisee ila zinamuonekano mbaya..ni kama tekno aisee...
 
wakiona mmemwagikia huko wanaweka premium features kisha wanauza bei za hizi flagship.

kwa wakati huu sioni umuhimu wa expendable storage maana kuna option za usb storage nk.

ila pale kwenye charger kuchafua mazingira ndio naomba msaada aliyeelewa jamani binafsi sielewi.
Unatumia chaja uliyonayo badala ya kuitupa ikachafua mazingira
 
As long as wote tuna access play store moja basi hakuna tatizo
 
Mi mshamba kidogo jaman wa haya mambo,, Kama hazina charger Sasa zinapata umeme kwa njia gani......???
Unatumia uliyonayo
Wana assume mpaka unanunua S21 lazima una Samsung nyingine, kama huna utanunua chaja zipo madukani
 
Unatumia chaja uliyonayo badala ya kuitupa ikachafua mazingira
nani kasema charge huwa zinatupwa!!!

mimi huwa naifungia kwenye droo.hawa walichoamua kukifanya mwaka huu.
ni upigaji wa super profits,maana mwaka jana bei zilianzia hapo na simu ilikuwa na kila kitu ndani.

sasa mwaka huu bei ni ilele charger hakuna,ukitaka charger nyingine unachapwa $ nyingine.
 
Vipi zina chaja au ndio wanatunza mazingira na wenyewe

kama kawa tunatunza mazingira, kule kule kwenye njia za Apple, kuna watu humu waliposikia Apple katoa simu bila charger alilipuka vibaya ila sasa wamekuwa wakiya
 
Back
Top Bottom