Umekua msemaji wao?Usishangae tekno na oppo wakaibukia chemba la msengenyo
Li ultra laonekana ni bonge moja la simu
Mkuu unakumbuka hata s20 ultra ana 5000mAh?Kwenye betri sasa wanaanza kuongea lugha ninayoielewa
Vipi zina chaja au ndio wanatunza mazingira na wenyewe 🤣
Mkuu usilinganishe Oppo na takataka kama Tekno!Kumbuka Oppo inashika namba tano katika brand bora kabisa za simu duniani!Usishangae tekno na oppo wakaibukia chemba la msengenyo
Sasa simu zinachajiwajeVipi zina chaja au ndio wanatunza mazingira na wenyewe
Mshahara wako wa miezi 5 Ms.Sh ngapi? Ni Nzuri!
Wewe umezoea cheap phonesKwenye betri sasa wanaanza kuongea lugha ninayoielewa
😀😀 acha hizo mkuu sema bei, huwezi jua naweza kununua 3 cash.Mshahara wako wa miezi 5 Ms.
Acha kulinganisha Oppo na hizo rimoti za sabufa. Chukua Oppo Find X2 Pro ambayo ndio flagship yao ilinganishe na hizo iPhone 11 Pro, Samsung S20 Ultra, Huawei P40 Pro, Huawei Mate 40, Xiaomi Mi10 Pro na Ultra na flagship nyingine za last year kutoka kwa OnePlus, Asus, Poco na brand kubwa nyingine.Usishangae tekno na oppo wakaibukia chemba la msengenyo
Kama zipi hizoWewe umezoea cheap phones