Watu tuna RAM 3/4GB tunaona za maana kumbe watu wanacheza 16GBHalafu kumbe ina 5G!
View attachment 1677681
Hiyo simu ya Samsung 21s inanipa faida gani. Faida ya simu ni kupiga, kupokea, whatsapp, instagram na kuandika message thats all. Nini tena cha zaidi ya kutumia gharama eti kununua samsung 21s ya nini?.
Ndiyo mkuu. Walionazo wazitumie wakichoka watuletee nasi tununue😁Teh teh
Kama unavonunua S3 na J5 sasa hivi siyo
Elufu mbili na thalathini ni mbali mnooSisi akina pangu pakavu tia mchuzi tunasubiri mwaka 2030 tutazinunua kwa laki 3 kule makumbusho![]()
Vyote uliyotaja vipo kwenye smart kitochi za tigo, voda na zantel, ya zantel inauzwa 40,000 tu.Hiyo simu ya Samsung 21s inanipa faida gani. Faida ya simu ni kupiga, kupokea, whatsapp, instagram na kuandika message thats all. Nini tena cha zaidi ya kutumia gharama eti kununua samsung 21s ya nini?.
Fold..Kuna samsung moja niliiona kama hiyo inafunguka katikati inakua kama tablet sijui ndio hiyo!!

Hata mimi flip naziona ona mtaani, wapo wadada wa kutosha kumiliki hizi simu, kama kimkebe cha makeup.Fold..
Kuna habari niliona lukuvi anawapigia watu wakachukue hati zao, kwa haraka haraka simu aliyokuwa anatumia ni hiyo.
Tuendelee kusaka hela, au kwa bajeti zetu za laki 5/7 tusubiri miaka miwili mbele yawezekana ikawa imeshuka bei..
Tusione aibu mbona watu wanatumia ist za mwaka 2004 huko kwa namba DV..
Tuisubiri, huko mbele, mimi naisubiri note 10, nifunge nayo ndoa ya mkataba![]()
mtu anaona aibu kisa simu,halafu gari sababu kanunua mil 10 haoni shida,kumbe nayenyewe ni kifaa cha kusafiria kama tukiichanganua.Fold..
Kuna habari niliona lukuvi anawapigia watu wakachukue hati zao, kwa haraka haraka simu aliyokuwa anatumia ni hiyo.
Tuendelee kusaka hela, au kwa bajeti zetu za laki 5/7 tusubiri miaka miwili mbele yawezekana ikawa imeshuka bei..
Tusione aibu mbona watu wanatumia ist za mwaka 2004 huko kwa namba DV..
Tuisubiri, huko mbele, mimi naisubiri note 10, nifunge nayo ndoa ya mkataba![]()

Nishafanya pre order ya hii simu.
Nimefurahi kukuta kwa Africa nchi tano ambazo unaweza kufanya pre order Tanzania imo.
Kwa simu za mwaka jana sikuvutiwa nazo kabisa ila hii imenivutia.
Sisi wapenzi wa Samsung hua tunachukizwa na ubora wa camera wa simu za Samsung ila mwaka huu kwenye hii S21 kuna improvement, nimesoma reviews nyingi wanasifu kua kuna improvement kwenye camera.
Naisubiri.
Ngoja sie wenye mitecno na infinix yetu tufanye kama kuchungulia hivii kwa mbaali🧐🧐🧐
Inaitwa marketing. Lazima uwe smartHuyu alibeni mtindo wa majina eti "mini, plus, ultra au lite"
Mjanja sanaa.
Hizo ni voice za mtu ambaye hana uwezo wa kumiliki simu kali. Instead of kulalamika lalamika. Acha wenyewe uwezo wa enjoyHiyo simu ya Samsung 21s inanipa faida gani. Faida ya simu ni kupiga, kupokea, whatsapp, instagram na kuandika message thats all. Nini tena cha zaidi ya kutumia gharama eti kununua samsung 21s ya nini?.
Bado sana. Kila mwaka wanakuja na design mpya. Na huu ni mwanzo tuKwa upande wangu naona hizi simu design imefika mwisho
Nunua mkuu
Maskini wanatia huruma sanHizo ni voice za mtu ambaye hana uwezo wa kumiliki simu kali. Instead of kulalamika lalamika. Acha wenyewe uwezo wa enjoy
Hizo luxury phonesHiyo simu ya Samsung 21s inanipa faida gani. Faida ya simu ni kupiga, kupokea, whatsapp, instagram na kuandika message thats all. Nini tena cha zaidi ya kutumia gharama eti kununua samsung 21s ya nini?.