mchumi tumbo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 832
- 997
simu kali bei ya kawaida
Kama ulivyopambana wewe enhee?Pambana na hali yako[emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me mwenzio nipo naelekea kwenye s9 hapa[emoji57]Kama ulivyopambana wewe enhee?
Ha aha ha ha hata mim naona kabisa na S9 yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me mwenzio nipo naelekea kwenye s9 hapa[emoji57]
Hahahha we si mbishiHa aha ha ha hata mim naona kabisa na S9 yako
Mkuu kwa mtizano huo kwanini usitumie techno M3 tu badala yake ukaamua kutumia note 4 ambayo pia bro yake ni kubwa?Mimi apa nnatumi note 4 kwa matumizi ya hapa tz sioni tofauti au faida unayopata wewe wa s8 tuko same same tu labda walete s27 ambayo itakua inaniendea sokoni,inaniendeshea gari, inanidekia nyumba,inanioshea vyombo,inanipikia na kupasi nguo inaninawisha uso nnabaki tu kwenda kazini,kanisani,kwenye biashara kufanya majukumu yangu
Maneno ya mkosaji hayaMimi apa nnatumi note 4 kwa matumizi ya hapa tz sioni tofauti au faida unayopata wewe wa s8 tuko same same tu labda walete s27 ambayo itakua inaniendea sokoni,inaniendeshea gari, inanidekia nyumba,inanioshea vyombo,inanipikia na kupasi nguo inaninawisha uso nnabaki tu kwenda kazini,kanisani,kwenye biashara kufanya majukumu yangu
Apana mkuu samsung ni simu bora ila wabongo tunapotea na kudanganyika kwenye kitu kidogo sana ili kufanya matumizi mabovu ya pesa. uwezi kuniambia mimi mtu ninae ishi kwenye nchi inayoangaka kuelekea kwenye uchumi wakati mwaka jana nimenunua simu kwa 1.6 M mwaka huu nikanunue nyingine kwa 1.9M kisa ni toleo jipya na tofauti zake megapixel za kamera labda kama wewe ushatusua pesa unazo ingawa bado ni utumwa wa fikra.ila kwa maisha bongo ni kawaida mtu ana simu ya laki nane af anaomba mtaji wa laki tatu akafanye biasharaMkuu kwa mtizano huo kwanini usitumie techno M3 tu badala yake ukaamua kutumia note 4 ambayo pia bro yake ni kubwa?
Umenena vyema mkuu. Mimi hata robo ya kutusua sijaionja uwezo wa kutoa 1.6 ninunue simu sina kabisa mkuu.Apana mkuu samsung ni simu bora ila wabongo tunapotea na kudanganyika kwenye kitu kidogo sana ili kufanya matumizi mabovu ya pesa. uwezi kuniambia mimi mtu ninae ishi kwenye nchi inayoangaka kuelekea kwenye uchumi wakati mwaka jana nimenunua simu kwa 1.6 M mwaka huu nikanunue nyingine kwa 1.9M kisa ni toleo jipya na tofauti zake megapixel za kamera labda kama wewe ushatusua pesa unazo ingawa bado ni utumwa wa fikra.ila kwa maisha bongo ni kawaida mtu ana simu ya laki nane af anaomba mtaji wa laki tatu akafanye biashara
Mkuu ndo IPO njiani inakuja..... ni S8Mkuu vp ushakamata S9? Je hii kitu yako ni S8 ama ni S8 plus? Naamini kwa mwana JF mwenzako unaweza kushuka kidogo
Inakupa na kitambi...!Mimi apa nnatumi note 4 kwa matumizi ya hapa tz sioni tofauti au faida unayopata wewe wa s8 tuko same same tu labda walete s27 ambayo itakua inaniendea sokoni,inaniendeshea gari, inanidekia nyumba,inanioshea vyombo,inanipikia na kupasi nguo inaninawisha uso nnabaki tu kwenda kazini,kanisani,kwenye biashara kufanya majukumu yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sina lakuchangia ninabaki kusoma coments tu.
Pole pole ndio mwendo, na sisi japo za kuokota tutaokota tutumie lakin duh milion kwenda juu kwa kununua simu sijawaza bado.
Hebu wasamaria jetoleen kwa vichango mtununulie na sisi mambo ya S.
S6 gani?mimi nina s6 yangu nimetulia nayo
kweli s6 haikai kabisa na chajiS6 gani?
Wanasema S6 hazikai na chaji, ya kwako inakaakaa na chaji?