Samsung Galaxy S9 na S9 Plus, Muonekano, Bei na Features mpya

Samsung Galaxy S9 na S9 Plus, Muonekano, Bei na Features mpya

Haijamaliza hata miezi mitatu. yaani hapa roho inauma.
Mkuu miezi mitatu means uliinunua December? Wenzako tulinunua tangu April!! But huna haja ya kununua S9 coz ipo identical sana to s8......
 
Mkuu miezi mitatu means uliinunua December? Wenzako tulinunua tangu April!! But huna haja ya kununua S9 coz ipo identical sana to s8......
December. lkini ndio hivyo kitu kipya kimenitoa udenda
 
December. lkini ndio hivyo kitu kipya kimenitoa udenda
Hakuna jipya zaidi mkuu mi mwenyewe niliisubiri kwa hamu but haijanivutia kiivyo zaidi ya camera na hizo emoji.... but nafikiri S10 ndo itakuja na massive changes including inside finger print scanner
 
Sina lakuchangia ninabaki kusoma coments tu.

Pole pole ndio mwendo, na sisi japo za kuokota tutaokota tutumie lakin duh milion kwenda juu kwa kununua simu sijawaza bado.

Hebu wasamaria jetoleen kwa vichango mtununulie na sisi mambo ya S.
 
Back
Top Bottom