Samsung Galaxy S9 na S9 Plus, Muonekano, Bei na Features mpya

Samsung Galaxy S9 na S9 Plus, Muonekano, Bei na Features mpya

[emoji23] [emoji23] [emoji23]


Kwa kweli.....



Mie ngoja nisubiri ukishaitumia yako nitakuja kuinunua ikiwa used.



Hope utaitunza vema nije kuinunua ikiwa bado mupya[emoji23]
Ahahhaha nimecheka
 
Sasa kwa nn ss tuletewe hiyo prosessor ya exynos 9810 watubanie hiyo qualcomm
 
Sasa samsung nao wameishiwa new design kama Apple? wale Fan boys wao walikuwa wana mock Iphones kuwa zina same shape.... haya sasa.
 
Sasa samsung nao wameishiwa new design kama Apple? wale Fan boys wao walikuwa wana mock Iphones kuwa zina same shape.... haya sasa.
Hawa wawili wameishiwa ideas yani hapa tusubiri iibuke kampuni mpya iwe gane changer kama alivyoibuka iphone from no where akachange game la simu.
Nokia naona ana mbwera tu hakuna mambo ya ajabu anayofanya nilidhani aakuwa game changer kumbe anafuata nyayo na shape zile zile tu
 
Hawa wawili wameishiwa ideas yani hapa tusubiri iibuke kampuni mpya iwe gane changer kama alivyoibuka iphone from no where akachange game la simu.
Nokia naona ana mbwera tu hakuna mambo ya ajabu anayofanya nilidhani aakuwa game changer kumbe anafuata nyayo na shape zile zile tu
Simu zimefika kikomo saiv. akina samsung na apple watakuwa wanakuja kutudanganya kwenye ram na processor. wakati zinafanya same tasks tu. Mimi naona imebaki sehemu 1 tu kwenye simu ambayo ndio italenda mapinduzi. Artificial Intelligence tu.
 
Samsung mtanitoa roho mimi
Roho huwa ina tamani kutoka pale unapo pata bidhaa fake kwa gharama kubwa ukizani ni original... wakati huo pia huna matarajio ya kumpata muuzaji, au ukimpata ata kuruka kimanga na mbishi kama muha...
 
Sio kweli, unataka kusema kwamba waAfrica tuna matumizi makubwa ya simu kuliko Ulaya? Tafakari kwa makini
ulaya pia wanatumia exynos, North America ndio wanatumia snapdragon sababu ya cdma. Mitandao kama Verizon na sprint bado inatumia hizo Technology. Ni rahisi kutumia snapdragon kwa samsung kuliko ku licence Technogy ya CDMA toka kwa Qualcomm.

Hii Exynos Mpya ya s9 ni Balaa, ipo level nyengine kabisa, sema ni kwenye cpu tu. vitu kama GPU, modem, camera, etc Bado watakuwa Snapdragon wapo juu.
 
Back
Top Bottom