Mkuu you want stories but am not a story teller...
Mwenye akili timamu ni yule atakae compare Tetea na Jogoo lakini sio Jogoo na Bata...
Samsung anafanya innovation ya Hardware na Iphone anafanya ya Hardware pamoja na software, kwahiyo unapoliingiza suala la os security kwa samsung hapo unamwingiza na google kwasabu ndiye mwenye OS kama huelewi hili nadhani utaendelea kubisha.
Mpaka tunamlinganisha samsung na iPhone leo hii tumeangalia device za samsung zinavyo hit, leo samsung akisema a base kwenye Tizen OS itamfanya a drop kidogo kwasabu ana hit na android... Na mpaka katengeneza Tizen mana yake yupo kwenye njia yakumwacha Android nae a base ktk OS yake.
Haya Tizen nayo inatumia Linux kwasabu ni Open source, kafanya hivi kwasabu wengi wanapenda customization.
Niliingizia bb kwasabu naona we mwenyewe unatoka nnje ya mada unaanza kuzungumzia OS badala ya hardware, kama kawaida yako ukipaisha iPhone kua ina best security akati zipo Blackberry, hebu tufananishe hardware kwanza suala la OS tutaeka kwenye thread ya android vs iOS
Apps android itaendelea kukimbiza.. Unasema apps nyingi za Android ni useless au useless kwako ?
application kama hauzitumii usiseme ni useless nikikupa "iObit" unaeza sema ni useless kwasabu may be hujui kazi yake, application za android zingekua hazina maana google wangezitoa kama walivyofanya PTB
Huu apa mfano iOS alipomcopy android.
Narudia tena usifanye comparison ya iOS na Samsung, fanya kati ya Iphone na Samsung.
At least kwa 2014, checki hapa Led By iPhone 6, Apple Passed Samsung In Q4 Smartphone Sales, 1.9B Mobiles Sold Overall In 2014 | TechCrunch
On the issue of sales apple ataonekana kuhit than samsung kwasabu yuko peke yake..
Angalia on the issue of android there's many Brands. Sony, motorola, LG, HTC n.k who compete even with Samsung with their higher end devices.
On the issue of sales apple ataonekana kuhit than samsung kwasabu yuko peke yake..
Angalia on the issue of android there's many Brands. Sony, motorola, LG, HTC n.k who compete even with Samsung with their higher end devices.
Unalinganisha flagship na mkusanyiko wa simu? Ukitaka tuwe fair tuweke mauzo ya flagships tu. Iphone 6 na galaxy S5 tu. Naomba uniletee majibu.
Au unaweza kuweka apple iphone 6 na 6+. Samsung weka galaxy S5 na galaxy note 3. Hizo ndo flagships za mwaka jana.
Mbona sijaona copy yeyote hapo? Simu karibu ya zote zina saa kubwa kama hizo hapo.
Apple kaweka kati kati juu
Android kaweka juu pembeni kulia
Windows phone anaweka pembeni chini kushoto au wakati mwingine inakuwa inazungua kama animation
Weka sales za flagships za mwaka jana
Hata kwa Samsung vs Iphone peke yake, Samsung kwa mwaka mzima wa 2014 na hata 2013 ndo aliongoza kwa mauzo. Iphone aliongoza quarter ya 4 peke yake baada ya kutoa iphone 6
Samsung ana drop
Habari yenu wadau, natumai weekend imeenda vyema. Haya leo Samsung wamezindua their latest flagship codenamed Samsung Galaxy s6.
Kumetokea vita ya maneno kati ya android/Samsung fan vs iPhone fan boys kuhusu Samsung kuonekana kukokopi design ya iPhone sasa nikaona nilete mada kwenye jukwaa
Itawaghalimu sana kwenye non removable battery na memory card slot....
Baaadhi hawaipendi iphone kwasababu kama hizo, still they have long way to go with their S6 apart from Iphone 6 copycat, the new design which they had been reinvent will going to whack even over their own Galaxy S5..
Appart from external appearance copying, also i can happen to say that this divice is iphone S6..
Let us see....
Apple ndy cm bora zaid kuliko cm aina zote kuanzia sas hv elewa hilo.
Mbona sijaona copy yeyote hapo? Simu karibu ya zote zina saa kubwa kama hizo hapo.
Apple kaweka kati kati juu
Android kaweka juu pembeni kulia
Windows phone anaweka pembeni chini kushoto au wakati mwingine inakuwa inazungua kama animation
Daah sijui ni ushamba wangu au vipi lakini binafsi sijawahi kuliona tangazo kwenye TV linalotangaza iphone or etc lakini samsung daah hiyo note 4 ukiangalia mechi za uingereza ebana matangazo mengi mpaka unaweza likariri
Kila mtu ana strategy yake katika utengenezaji na mauzo ndio maana samsung anatengeneza brands nyingi na hatii nguvu moja kwenye brand moja. Kwa mfano s5 na s6 unaona hatazijapishana sana lakini wakati huo huo note 3 na note 4 pia hazijapishana. Lakini pia flagship hizi za apple na samsung zimetoka kwa vipindi tofauti na hata interval kati ya kutoa model moja na nyingine ni tofauti. Kama wote wangekuwa wanatoa model zao kwa wakati mmoja tungeweza kulinganisha flagship 1 na nyingine. Ishu ilikuwa samsung vs iphone, na hizo ndio data.
Mkuu ni sahihi kuto iona kwasabu sisi watanzania ni wabishi sana.
Angalia Lockscreen iliyokua kwenye iOS 6 na alivyoibadilisha kwenye iOS 7 ambayo ikafanana na android hapa chini.
Hapa ndo inavyoonekana kama android
budget ya matangazo ya samsung ni 12b usd. ni kama trilion 21 hivi za kitanzania, budget yetu nayo ipo mitaa hiyo hiyo. kibiashara samsung wana advertise brand na kwa vile wana bidhaa zinakugusa kila sehemu wapo sahihi, maskini, tajiri, anaetaka fridge, tv, simu nk wote wanaguswa.
ila apple yeye bidhaa zake zinagusa jamii ndogo ya watu, inabidi afanye targeted ads kwa wale watu ambao anaona wanauwezo wa ku afford bidhaa zake. hivyo ukiona huoni matangazo ya iphone ujue huenda hurtakaa uinunue