Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,018
- 2,599
Habari wapendwa natumaini mnaendelea vizuri Naenda straight to the point Nina simu Aina ya Samsung galaxy A10s, cha ajabu nikiingia kwenye account yangu kulogin hasa account yangu ya matokeo ya chuo Google Chrome, au browser nyingine kama opera mini.zote zinakataa inaniambia kuwa incorrect password na username lakini cha ajabu nikiingia kutumia pc yangu inakubali au simu nyingine.