Samsung Galaxy A10, 20, 50, 90

Shukran sana kwa ushauri
 
Niko na A50 oooh safi sana
 
Et ni kweli kwamba hizi simu zitapanda bei au propaganda tu? Manake siku za nyuma kupata samsung zenye sifa kama hizi bei haikua rafiki, lakini hapa naona bei imetulia aisee
 
Et ni kweli kwamba hizi simu zitapanda bei au propaganda tu? Manake siku za nyuma kupata samsung zenye sifa kama hizi bei haikua rafiki, lakini hapa naona bei imetulia aisee

Kweli mkuu bei zake ziko reasonable na specs za ukweli. Watu watahama kwenye S series kuja kwenye A series.
 
Mkuu nlkuwaa katika kutaniaa but still naona wanasema itakuwa samsung ile ile coz hataa apple mliwahii sema umu kuwa USA ni design ila watengenezajii ni Chinaa
Sumsung S series na Note series na sumsung wenyewe. Series zingine zote zinatengenezwa under licence na wabia wao haswa India na Vietnam. Sumsung korea hawana simu ambayo ni duo-double line
 
Uliongleaa mtu anayetumia S7 binafsi nataka kuondka kwenye J series an to be specific natumia J5prime, hii simu imeanza kuzngua betri yaan ukiwa online ni just 3 hrs iko 20% hata kama ilkuwaa 100% nataka kuji upgrade na A20 au Note 5...ushaurii wakoo mkuu
 
ndo mana kule juu nikamshauri agharabu A50 iko vizuri zaidi ya sana ila si A10 au 20
*NEW PRICE LIST*

*************************
*S10+ - 1,940,000/=*

*S10+ - 2,445,000/=* 512GB
*S10e - 1,445,000/=*

*S10 - 1,730,000/=*
*N9 - available/=*
*A9 - 1,230,000/=*
*A70 - 830,000/=*

*M 20 - 485,000/=*

*A50 - 670,000*
128Gb
*A30 - 510,000*
64Gb
*A20 - 395,000/=*
*A10 - 325,000/=*

*A2core - 225,000/=*
*A7 50 - 705,000/=*
*J4 - 345,000/=*
*J4core - 325,000/=*
*j4+ - 370,000/=*
*j6+ - 445,000/=*
*j8 - 590,000/=*
*J7duo - 380,000/=*
*Note 8. - 1,570,000/=*
*S8+ - 1,445,000/=*
*S8 - 1,090,000/=*
*J7pro - 420,000/=*
*G. P+ - 260,000/=*
*J1ace - 225,000/=*
*j2 core - 260,000/=*

***********************
*Level u pro - 80,000/=*
 
Et ni kweli kwamba hizi simu zitapanda bei au propaganda tu? Manake siku za nyuma kupata samsung zenye sifa kama hizi bei haikua rafiki, lakini hapa naona bei imetulia aisee
*NEW PRICE LIST*

*************************
*S10+ - 1,940,000/=*

*S10+ - 2,445,000/=* 512GB
*S10e - 1,445,000/=*

*S10 - 1,730,000/=*
*N9 - available/=*
*A9 - 1,230,000/=*
*A70 - 830,000/=*

*M 20 - 485,000/=*

*A50 - 670,000*
128Gb
*A30 - 510,000*
64Gb
*A20 - 395,000/=*
*A10 - 325,000/=*

*A2core - 225,000/=*
*A7 50 - 705,000/=*
*J4 - 345,000/=*
*J4core - 325,000/=*
*j4+ - 370,000/=*
*j6+ - 445,000/=*
*j8 - 590,000/=*
*J7duo - 380,000/=*
*Note 8. - 1,570,000/=*
*S8+ - 1,445,000/=*
*S8 - 1,090,000/=*
*J7pro - 420,000/=*
*G. P+ - 260,000/=*
*J1ace - 225,000/=*
*j2 core - 260,000/=*

***********************
*Level u pro - 80,000/=*
 
*NEW PRICE LIST*

*************************
*S10+ - 1,940,000/=*

*S10+ - 2,445,000/=* 512GB
*S10e - 1,445,000/=*

*S10 - 1,730,000/=*
*N9 - available/=*
*A9 - 1,230,000/=*
*A70 - 830,000/=*

*M 20 - 485,000/=*

*A50 - 670,000*
128Gb
*A30 - 510,000*
64Gb
*A20 - 395,000/=*
*A10 - 325,000/=*

*A2core - 225,000/=*
*A7 50 - 705,000/=*
*J4 - 345,000/=*
*J4core - 325,000/=*
*j4+ - 370,000/=*
*j6+ - 445,000/=*
*j8 - 590,000/=*
*J7duo - 380,000/=*
*Note 8. - 1,570,000/=*
*S8+ - 1,445,000/=*
*S8 - 1,090,000/=*
*J7pro - 420,000/=*
*G. P+ - 260,000/=*
*J1ace - 225,000/=*
*j2 core - 260,000/=*

***********************
*Level u pro - 80,000/=*
Mbona umeruka A30?
 
Samsung yangu j7 Pro kwa kweli suala la Chaji hii simu nime
Yani nachezea kinyama lakini inatunza chaji balaaa... Hapa samsung wameweza kazi
 
Mkuu hata A50 inakaa na chaji sana
Samsung yangu j7 Pro kwa kweli suala la Chaji hii simu nime
Yani nachezea kinyama lakini inatunza chaji balaaa... Hapa samsung wameweza kazi
 
Priority yako ni ukaaji chaji, ama camera ama perfomance?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…