A10 kioo chake sio kizuri nadhani sio Super Amoled kwaio ukikutana na mtu mwenye simu yenye kioo kizuri utaona tofauti kwa ushauri nunua A20 ni 390,000
Mkuu binafsi sio mtaalamu wa simu ila ninatumia Samsung J7 Pro niliwahi wanunulia watu Samsung J4 na Samsung A10 katika kuzifuatilia kwanini vioo viko tofauti mfano J4 yenyewe ina kama chenga chenga kimtindo sio sana ila hii A10 kioo kinaonekana kipo smooth lakini sio smooth kama kioo cha Super Amoled nadhani Chief Mkwawa anaweza kutuelezea vizuriYeah inatumia IPS LCD, ina tofauti gani katika ubora dhidi ya Super Amoled?
Naona ata iphone wanatumia hiyo hiyo IPS LCD.
Ndio nilichomaanisha mkuu, kutoka s7 kuja A10 unadowngrade sana hivyo lazma uhisi hicho kitu.S7 nilitumia mkuu version ya Korea, haijawahi kukwama ata siku moja.
Ndio nilichomaanisha mkuu, kutoka s7 kuja A10 unadowngrade sana hivyo lazma uhisi hicho kitu.
Sawa mkuu, hawa jamaa wa A series naona wanatumia vioo vya Ips lcd ambavyo ata iphone wanatumia. Tofauti ya vioo hivi na super amoled ni nini mkuu Chief.
I meant iPhone 8 plus!A series A10 pekee ndo inatumia IPS LCD, kuanzia A20 na kuendelea wanatumia SUPER AMOLED, and IPHONE kaacha kutumia IPS LCD Kwny iphone i+, kuanzia iPhone X, Xmas na XR zote katumia OLED displays!
Vipi J Series mkuuA series ya Samsung sio nzuri bro hailast. Tafuta S series utaenjoy
usifananishe s6 na izo taka takaKwa hiyo ya A10 ni bora ukachukua infinix S4 au galaxy S6
Kwa kifupi hizi simu ni jamii ya itel
A series A10 pekee ndo inatumia IPS LCD, kuanzia A20 na kuendelea wanatumia SUPER AMOLED, and IPHONE kaacha kutumia IPS LCD Kwny iphone i+, kuanzia iPhone X, Xmas na XR zote katumia OLED displays!
hahahahh s6 nilitumia mwaka jana ila bado naikubaliHa ha haaa mkuu kwa kuwa bado unatumia S6, hiyo wenzio wanaona ni outdated mzee. Ukiwa nayo town ata mfukoni kuitoa tu noma.
Hiyo ni kwa A10 na A20 ila kuanzia A50 na kuendelea nadhani zina ubora wa samsung tunaoujuahardware zake lowtech ambazo hata tecno anatumia kwenye simu zake hvyo lever kama za spark 2 na wenzake hao
ila samsung kacheza na camera battery kutunza moto pamoja na storage kuna wenzangu na mm hao wakisikia gb32 halafu kwa 250k kwa samsung wanachachawa
Kuanzia A30 kidogo unapata display nzuri mkuu ina full HD super Amoled, pengine ndio simu ya bei rahisi yenye kioo kizuri zaidi, kama unataka simu nzuri ya kutumia kila siku nunua hii.Wakuu etum Lyamber Chief-Mkwawa shukrani sana kwa ushauri wenu.
Next week nlikua naenda kununua A20 au M10 ila kwa huu ushauri wenu nimeghairi.
Kwa budget ya 500,000 ni simu ipi nzuri wakuu, ila size iwe 6"
Mkuu hio ips inayotumika kwenye iphone na hizi za bei ya chini ni tofauti na ukiangalia ukubwa wa kioo na resolution ndio haviendani kabisa.Sawa mkuu, hawa jamaa wa A series naona wanatumia vioo vya Ips lcd ambavyo ata iphone wanatumia. Tofauti ya vioo hivi na super amoled ni nini mkuu Chief.
Nairobi 350KHiyo nimeiona shop 400+, sikumbuki exactly ila inacheza kati ya 450 mpaka 470.