Samsung A30s na Tecno Camon 12 pro. Simu ipi kali?

uran

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
7,583
10,819
Wakuu kati ya hayo matoleo mawili hapo, simu gani ni kali zaidi?
 
Hapo hawajaboresha ila wamepunguza uwezo. Hizo simu zinatumia Chip za kawaida dana. Hata performance yake ni kawaida. Hizi simu zao zinazolula chaji ndio zinaperformance kubwa kutokana na kutumia vifaa vya kisasa na vikubwa
Ila hizi sumsung wamejitahidi kuboresha uwezo wa kutunza charge
 
Mkuu acha basi dharau unafanamishaje Samsung na tecno aiee hata kama ingekuwa Samsung a20 au 10 huwezi kufananisha na techo hata ikiwa phantom 9 au 11 cjui 12 mi natumia a30 tu wala sio a30s now nimeshapata apdate ya latest version ya android 10 now nina run android 10 na one UI 2.. Huyo mwenye tecno ana run android ngap kuna tecno itapata update ya android 10 big noooo 0
Screenshot_20200304-143431_Settings.jpeg
 
Mkuu acha uongo basi kubali kuwa pia pamoja na kupunguza baadhi ya vitu vilivokuwa vinatumia chaji sana lakin usikatae kuwa hawajaboresha!! Huko Sindo kuburesha kwenyewe au pia now adays wanaweka betr yenye uwezo mkubwa tofaut na za zamani mfano mah3000, 40000,5000 mpaka 6000mah tofaut na simu za miaka ya nyuma kidogo ilikuwa cm zina mah 1800, 1900, 2000 ikijitahidi ilikuwa na mah 2500 sasa cm hapo itatunzaje chaji mkuu harafu now wana future ya fast chaji unachaji cm kwa mda mdogo wa saa 1 na robo simu imejaa tofaut na zamani au tofaut na tecbo hiyo anayosena unaweza kuta imeandikwa ina fast chaji ila ukiweka simu chaji inajaa kwa masaa 3 au ma4 sasa ndo nini na kuna tofaut ya vitu vingi tu kama cheap ya mtk nk kioo super amoled
Hapo hawajaboresha ila wamepunguza uwezo. Hizo simu zinatumia Chip za kawaida dana. Hata performance yake ni kawaida. Hizi simu zao zinazolula chaji ndio zinaperformance kubwa kutokana na kutumia vifaa vya kisasa na vikubwa
 
Back
Top Bottom