Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 2,624
- 1,504
Ninatumia samsung A 7 ya mwaka 2017, na ninaiona iko vizuri kuliko hizi A series nyingine zinazotoka miaka hii hadi zimefika A51, je kuna tofauti gani ya kitaalamu kati ya hii A7 yangu ya 2017 na hizi A series mpyampya zinatoka mfululizo.
Nisije kuexchange A7 yangu nikajuta ?
Nisije kuexchange A7 yangu nikajuta ?