Samson Mwigamba: CHADEMA kuna ubaguzi

Kama kuna ubaguzi cdm ilikuwaje yeye akawa m/kiti arusha bila kubaguliwa,alishawahi kufanya kazi makao makuu na kwani hakubaguliwa.pili,ilikuwaje katika kikao akatoa taarifa ya kuwasifu watu asiowaamini kama kweli yeye si mnafiki na mamluki? alimsifu mbowe ndani ya kikao ili kumfurahisha nani? huyu anatakiwa atimuliwe tu pamoja na mamluki wenzie.CDM 4 LIFE
 
Asitufanye wajinga si ahamie vyama visivyo na ubaguzi kama ccm!
 
Andiko Zuri, linajieleza, mwenye macho aone, mwenye ufahamu aelewe! hiyo ndio CHADEMA!
 

Acha ushabiki, rudia kusoma tena, uelewe!
 
Nadhani unafahamu kuwa kuokoa kunafanyika kama kuna kitu, binadamu au mnyama anazama.

Mwenyekiti alitoa tahadhari na tahadhari haina maana CCM inazama bali CCM iwe macho.

Rushwa siyo swala ambalo ni geni duniani let alone Tanzania. Hakuna nchi duniani isiyokuwa na tatizo la rushwa na kwa maana hiyo, CCM inajidhatiti kupambana nalo pale litapojitokeza katika kupata wagombea wa nafasi mbali mbali nje na ndani ya chama.

Uongozi wa CCM siyo wa ki-imla. Kila kiongozi ana nafasi yake katika utendaji wa majukumu yake ya kila siku.

CHADEMA is not CCM and CCM will never be CHADEMA.
 
Kinachotakiwa ni kuukomesha huo ubaguzi, sio kuuacha uendelee!
Kama mnasikiliza maoni ya kila kiongozi bila ubaguzi,mbona magamba hamjavua?hadi jina la magamba mmelikubali kwa moyo mmoja kuliko kuyavua magamba hayo.Tena wala usiongee chochote maana unakumbuka hata ya kina Kolimba na wengineo.

Kauli ya kwamba maoni yake hayasikilizwi ni kutapatapa tu,kwasababu maoni yenyewe aliyaleta huku JF kujificha na huku yeye ni kiongozi,je ndipo alipoamini kuwa yale ni maoni ya kusikilizwa?ama aliwakaribisha nyie kina msalani muendeleze kejeli na propaganda chafu dhidi ya chadema?
 
Uongozi wa CCM siyo wa ki-imla. Kila kiongozi ana nafasi yake katika utendaji wa majukumu yake ya kila siku.

CHADEMA is not CCM and CCM will never be CHADEMA.
Uongozi wa CCM umejikita katika rushwa! huwezi kupata uongozi ndani ya CCM bila kutoa rushwa. Rushwa na CCM ni sawa sawa na samaki na maji, bila maji samaki atakufa!
 
Go to hell traitor mkubwa wewe,mission uliyotumwa imekua failed sasa hivi unatapatapa tu!mwisho wako ndipo ulipofikia hapo,mnafiki na msaliti mwenzako nae ataangamia kwa aibu kubwa katika maisha ya siasa!unafiki na usaliti na unafiki ni kitu kibaya sana katika maisha ya mwanadamu!
 
huyu ni mnafiki na hii dhambi itaendelea kumtesa.
 
 

"Asitake kulazimisha" au "asitake kujilazimisha"? Maana kulazimisha, ina maana Mbowe atawalazimisha wapiga kura wamchague katika uchaguzi ujao, regardless wanaona anafaa au la. Sidhani kama Mbowe ana hiyo jeuri ya kuwalazimisha watu wampigie kura.
It seems kama kuna watu wanamuogopa Mbowe. Wanajiuliza kama ameweza kukitoa chama kutoka cha nne hadi cha kwanza miongoni mwa vyama vya upinzani, ni nini kitatokea endapo ataendelea kuwa mwenyekiti. Kama ameweza kukipa wabunge wapya zaidi ya 40 ndani ya miaka mitano, je atakipa wabunge wangapi baada ya miaka 10 hapo 2015?
 
Chadema it is a chagga movement, kama wewe si mchaga utapata shida sana
Ndo lilokuwa lengo lenu.Kuweka heading yenye kusema chadema ni wabaguzi,kubandika habari kutoka kwenye gazeti ambayo haina uhusiano na kile mnachochangia.Mnafanya makusudi kabisa.Kwahiyo kina Baregu na Mkumbo aliowataja kuwa wanasikilziwa ndo wachagga?

Acheni upotoshaji,haiwasaidii kitu zaidi ya kupanda chuki ambazo zitawacost nyie na watoto wenu.
 
Mwigamba,

Kosa kubwa ulilofanya ni kuwa, JINA LA COMPUTER yako, umeandika Mwigamba. Sasa ulipoandika ujumbe, sijui kwa kutumia MS Office (Word) ukausave kwanza kwenye Computer yako na ulipokuja kuu-Copy, ukachukua na jina la File lilipokuwa limewekwa.

Katika jina hilo, watu wakaona jina lako la Mwigamba na hapo ndipo wengi tukafahamu kuwa ni WEWE. Usingelifanya kosa hili, nina amini hakuna ambaye angelikugusa kwa sababu itakuwa ni kuvunja Miiko ya JF. Hata kama wangelifahamu kuwa ni wewe, basi wangelikuacha tu ili waendelee kukusoma zaidi ila wanakuwa tayari wamekufahamu. Siku ile ile, huo mstari, Mods waliufuta ili kukufichia siri ila kwa bahati mbaya sana, watu wakawa wameshau-copy.

Je mnakumbuka ujumbe huu wa 5th April 2012

[h=2]Samson Mwigamba una nini na Dr Slaa?[/h]
Jana nimesoma kwa makini sana makala ya Samson Mwigamba kwenye Tanzania Daima na nikashangaa sana. Nimemtumia ujumbe kumuuliza alikuwa na maana gani lakini mpaka sasa hajanijibu. Hili ndilo nililoligundua katika makala aliyoipa kichwa "Arumeru Mashariki ilikuwa kama operation ya Kijeshi"

Ameelezea mambo mengi na kuwashukuru watu wengi sana waliofanya kazi ya ukombozi Arumeru, Ameanzia kwa Mh Mbowe, Mameneja wa Kampeni Mchungaji Natse na V Nyerere, Mkuu wa operation John Mrema, Katibu wa CDM wa mkoa, Viongozi wa Bavicha na wengine wengi. Lakini jambo la ajabu ni kuwa hakuna hata mahali ambapo alimtaja Dr Slaa. Sasa mimi nimejiuliza inawezekanaje Mwigamba asimuone Dr Slaa kwenye kampeni? Vyombo vya habari vilituambia kuwa Dr Slaa alipokewa kifalme Arumeru, tulimuona na kumsikia kwenye majukwaa akimnadi Joshua, ni yeye aliyekashifiwa kuiba pesa za ujio wa Papa, ni yeye alitukanwa matusi mazito na Ndugu Lusinde. Sasa inawezekanaje Mwigamba asimtaje katika shukrani zake? Huu ndio ukamamnda gani, hata kama kuna sintofahamu baina yao kwa nini analionyesha hadharani hivyo? Nilitamani niwawekee vipande vya shukrani zake lakini Tanzania Daima online haikuiweka hiyo makala, sijui ni bahati mbaya ama wameistukia kama mimi nilivyofanya?

Makamanda tuache unafiki, hata kama mtu ameondolewa kuwa mhasibu wa chama sio sababu ya kuweka kinyongo, tujue tu kuwa cheo ni dhamana na si haki ya mtu. Ukombozi utaletwa na watu makini wenye nia ya dhati na wasio na agenda ya siri nyuma yao. Hoja zote ni lazima ziwekwe mezani, zijadiliwe kisha tusonge mbele kwenye mapambano.

Samson angalia sana usije ukajiweka upande mbaya wa historia ya taifa letu. Katika ujumbe wangu wa jana nilitoa wito kwako uombe radhi wasomaji wako na wana CDM popote pale walipo kwa kosa hilo. Inawezekana ulipitiwa tu na hukudhamiria, kama hivyo ndivyo basi nami utanisamehe.

Soma hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/245518-samson-mwigamba-una-nini-na-dr-slaa.html




 
Wewe ndiyo hujamulelewa Samson Mwigamba ndani ya mantiki ya KULAZIMISHA.

Mwigamba ana maanisha Mh. Mbowe amelazimisha uongozi kwa kutoa kipengele kilichoweka kikomo cha uongozi katika nafasi hiyo moja zaidi ya chaguzi mbili.

Matatizo yaliyojitokeza kati ya Mh. Zitto na Mh. Mbowe kwenye chaguzi kuu zilizopita yangepunguzwa katika chaguzi zijazo na kipengele hicho kama ilivyokuwa inafantika wakati kipengele hicho kiko ndani ya katiba.

Mtei---->Makani-------->Mh. Mbowe----------->Haijulikani lini?.
 

But kipengele cha kuchaguliwa kwa kura hakijaondolewa. Wapiga kura ndio watakaoamua nani awe mwenyekiti, sio Mbowe...
 
Kwa hili lililotokea ndani ya chadema, kwa kweli ni aibu ya chama, tunawafundisha nini watanzania? Bado natafakari sana juu ya kile kilichotokea huko Arusha!

Naona tumshauri ahamie chama chetu cha CCM
 
Chagga Development Manifesto
 
Chadema mnasema mmeanza na Mungu na kumaliza na Mungu sasa ndo kauli zenu za kilaanifu zinawadhuru maana mnazani Mungu anataka upumbavu wenu na ulaghai?
mnajitia kufuru zinawadhuru sasa. Ati tumeanza na Mungu sijui Mungu yupi anaetaka injustice. Labda hio mizimu ya wachaga ndo Mungu wenu. Nyambaf.
 
pengine Wewe ni miongoni wa CHADEMA wanaofaidi ufujaji wa fedha zinazopigiwa kelele na MWIGAMBA, ila za mwizi ni arobaini, nadhani huu ni mwisho wa MBOWE na SLAA.
Ccm jitegeni kama fisi anaesubiri mkono udondoke,MWIGAMBA hata Arusha hana jina ati akiyumbishe chama? LUMUMBA JIDANGANYENI.R.I.P CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…