SAMMATA apewa mkono WA kwaheri

SAMMATA apewa mkono WA kwaheri

Aende uarabu akapige pesa miaka 3 atakua na 40 maana now 37 then aje Bongo hasa pale Vyurani kutafuna pesa ya GSM kabla ya kutundika daruga zake.
Atoke kulipwa mamilioni aje Bongo kuunga unga!!!??? Samatta alishasema hatacheza tena ligi ya Bongo, labda aje kama mmiliki/muwekezaji wa team.
 
Kwa sasa aende uarabuni kumalizia soka, kisha asomee ukocha na mwisho arejee Tanzania kufundisha. Miaka mitano ajayo tumuone akiwa kocha wa timu kubwa hapa Tanzania.
Ajifunze kwa akina Juma Mgunda, Zakaria Kinanda, Abdallah Kibadeni, na sasa kwa Juma Kaseja, Selemani Matola, Mexime nk.

Hayo madini nampa, akafanyie kazi.
Samatta hata akiwa kocha hawezi kufundisha Tz, connection yake ni kubwa mno hawezi kukosa team hata za madaraja ya kawaida Ulaya au za vijana.
 
Samatha anasimamia Academy ambayo inapatikana South Africa na muda mwingi wa likizo huwa anakuwa SA.

Kwahiyo the guy is very genius usitegemee kuja kuwa Kama hao akina kaseja n.k

Akimaliza Maisha ya Mpira ataendeleza Maisha katika sehemu zinaoeleweka na sio kirudi nyuma
NAKAZIA. Na pia ni Agent wa wachezaji.
 
NAKAZIA. Na pia ni Agent wa wachezaji.
Nakubaliana na hilo kuna Kijana tunatoka kijiji kimoja Samatha alimchukua na sasa yupo SA.

Waswahili wanasema aje acheze ligi za kijinga na za kimasikini Kama simba na yanga wasichojua the guy anaishi low key Ila ni genius
 
Mzee kwani unaelewa nini kusema serikali imuendeleze?
Serikali ya nini!?, bado unatetea sentensi ya serikali imuendeleze!?..,ajiendeleze mwenyewe akifuzu masomo ya ukocha aombe nafasi ya kocha wa taifa, Azam, Simba n.k. Kwa maana nyingine aingie kwenye soko la makocha kama mtu yeyote, kwa mfano serikali ikimuendeleza na kumpa kazi ya ukocha wa timu ya taifa, akiboronga inafanyaje!?.. na wewe nikuulize, kwanini asijiendeleze mwenyewe?, kwanini serikali ihusike?, itawaendeleza wangapi!?, au huelewi unachomaaanisha??
 
Namuombea apate timu nyingine, ila akiamua kurudi home. Asiwe kocha natamani aje kuwa Raisi wa TFF ataitendea haki. Amecheza mpira wa ndani, wa nje amejifunza vingi, vitatusaidia.
Raisi anatakiwa kuwa na degree na uwezo wa kuhonga kupata endorsment 46 kati ya 47
 
Huyu Simba watamuona lulu. Lazima atue Msimbazi
 
Kwa sasa aende uarabuni kumalizia soka, kisha asomee ukocha na mwisho arejee Tanzania kufundisha. Miaka mitano ajayo tumuone akiwa kocha wa timu kubwa hapa Tanzania.
Ajifunze kwa akina Juma Mgunda, Zakaria Kinanda, Abdallah Kibadeni, na sasa kwa Juma Kaseja, Selemani Matola, Mexime nk.

Hayo madini nampa, akafanyie kazi.
Hao uliwataja hakuna anaeza jifunza kwao..muhimu ajifunze kwa akina aliou cise, lamine ndaye,emanueli amunike
 
Back
Top Bottom