MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 6,220
- 3,917
Ratiba sio tukio, ni mpango wa tukio. Wewe tuletee tukio!Àcha kuaminisha umma matango pori, tafuta ratiba ya kampeni uone leo Kuna tukio gani!?
Ratiba sio tukio, ni mpango wa tukio. Wewe tuletee tukio!Àcha kuaminisha umma matango pori, tafuta ratiba ya kampeni uone leo Kuna tukio gani!?
Acha lichukue tu kwa usenge huu unaofanyikaSikubaliani na watu wanaosema jeshi lichukue nchi.
Jeshi linatakiwa kusitisha uchaguzi na kuakikisha reforms zinafanyika ndipo uchaguzi ufanyike
Kujua aliko hakuhitaji kunuonaUnaulizia yuko wapi na ukimuona unasema hutaki kumuona
Kwani Rais makazi yake ni wapi? Si inajulikanaKujua aliko hakuhitaji kunuona
afe tu **** la mama yake huyo malayaKwamba atakufa? Au unataka kusikia amekufa? Unashangilia /unameombea mtu kufa? (Unashangaza) huyo anko mbn saivi mnampenda baada ya kupotea kwenye uso wa dunia na mnatamani angekuwepo?
Anataka pochi manyoya yako. Mpe. 😆😂🤣 I'm just kidding.😅😅 imenibidi nicheke unatia huruma sana! Sijui hasa unataka nini?
Akifa itabadilisha nini!?
Uchawa ni mzigo piaUjinga kuzidi huu wako? Kwamba yeye ataishi milele? Unakuwa chawa mpaka unapoteza logic. Yeye ni nani asife? Siyo binadamu?
Kufa atakufa. Na baadhi ya watu watashangilia na kukesha baa!
Ila uchawa aisee ni LAANA!
Ohoo!!Samia yupo wapi na yu Hali gani?
Kampeni zimesitishwa?
Hakuna uchaguzi mwaka huu
Bila reform tuliwaambia mkashupaza shingo
Tuendelee kuwepo!!
Kumbe ana makazi!Kwani Rais makazi yake ni wapi? Si inajulikana
Ana malaziKumbe ana makazi!
SawaAna malazi
Tayari kafa ??Samia kamuua Pole Pole kwa mkono wake mwenyewe
Chawa hawana uwezo hata wa mambo madogo tu. Hapa utafikiri umemuuliza swali la Quantum Mechanics. Huwa hawajui cho chote except blind loyalty to their handlers 🚮Si weka tu hapa hiyo ratiba au hata eneo mkutano ulipo tuone picha!.