Samia Suluhu utatuambia nini Watanganyika? Huna

Samia Suluhu utatuambia nini Watanganyika? Huna

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,662
Reaction score
59,100
Samia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu?

Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya Kagera.

Samia anataka kumhutubia nani? Ili iweje?

Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui? Yeye si anadai ni Mwislamu?

Tunataka miili ya ndugu zetu tukawazike wenyewe.

Anaongea au anahutubia taifa kama nani? Muuaji, Mtekaji, au mbambikizia kesi?
 
Samia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu?

Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya Kagera.

Samia anataka kumhutubia nani? Ili iweje?

Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui? Yeye si anadai ni Mwislamu?

Titaka miili ya ndugu zetu tukawazike wenyewe.

Anaongea au anahutubia taifa kama nani? Muuaji, Mtekaji, au mbambikizia kesi?
Haha we mzee kunywa panadol upunguze stress 🤣
 
Samia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu?

Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya Kagera.

Samia anataka kumhutubia nani? Ili iweje?

Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui? Yeye si anadai ni Mwislamu?

Titaka miili ya ndugu zetu tukawazike wenyewe.

Anaongea au anahutubia taifa kama nani? Muuaji, Mtekaji, au mbambikizia kesi?
Anajiuzulu
 
Samia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu?

Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya Kagera.

Samia anataka kumhutubia nani? Ili iweje?

Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui? Yeye si anadai ni Mwislamu?

Titaka miili ya ndugu zetu tukawazike wenyewe.

Anaongea au anahutubia taifa kama nani? Muuaji, Mtekaji, au mbambikizia kesi?
Huyo chinjachinja hana hit songs. Awaimbie chawa wake!
 
Samia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu?

Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya Kagera.

Samia anataka kumhutubia nani? Ili iweje?

Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui? Yeye si anadai ni Mwislamu?

Titaka miili ya ndugu zetu tukawazike wenyewe.

Anaongea au anahutubia taifa kama nani? Muuaji, Mtekaji, au mbambikizia kesi?
WHO ARE YOU?
 
Samia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu?

Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya Kagera.

Samia anataka kumhutubia nani? Ili iweje?

Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui? Yeye si anadai ni Mwislamu?

Titaka miili ya ndugu zetu tukawazike wenyewe.

Anaongea au anahutubia taifa kama nani? Muuaji, Mtekaji, au mbambikizia kesi?
Hakuna, hakuna hakuna
 
Samia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu?

Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya Kagera.

Samia anataka kumhutubia nani? Ili iweje?

Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui? Yeye si anadai ni Mwislamu?

Titaka miili ya ndugu zetu tukawazike wenyewe.

Anaongea au anahutubia taifa kama nani? Muuaji, Mtekaji, au mbambikizia kesi?
Nje ya mada
Kuna uzi ulisema wewe ni Mzanzibari. Sahiz unasema ni Mtanganyika, au akaunti yako imedukuliwa?
 
*Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui? Yeye si anadai ni Mwislamu?

Titaka miili ya ndugu zetu tukawazike wenyewe.

Anaongea au anahutubia taifa kama nani? Muuaji, Mtekaji, au mbambikizia kesi?
*Samia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu?

Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya Kagera.

Samia anataka kumhutubia nani? Ili iweje? *

Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui? Yeye si anadai ni Mwislamu?

Titaka miili ya ndugu zetu tukawazike wenyewe.

Anaongea au anahutubia taifa kama nani? Muuaji, Mtekaji, au mbambikizia kesi?
 
Haha we mzee kunywa panadol upunguze stress 🤣

Awamu ya sita sitaisahau hadi nakufa. Imeondoka na roho za marafiki zangu watano eti waliandamani. Wangepekekwa mahakani hukumu si kunyongwa bali faini tu au kifungo cha miezi 6. Lakini yeyee kaelekeza wauliwe. Wazanzibar wana roho mbaya.
 
Awamu ya sita sitaisahau hadi nakufa. Imeondoka na roho za marafiki zangu watano eti waliandamani. Wangepekekwa mahakani hukumu si kunyongwa bali faini tu au kifungo cha miezi 6. Lakini yeyee kaelekeza wauliwe. Wazanzibar wana roho mbaya.
Pole sana! Kifo ni haki yetu sote tunaoishi. Tofauti ni unakufaje tu!! Allah awarehemu wote.
 
Pole sana! Kifo ni haki yetu sote tunaoishi. Tofauti ni unakufaje tu!! Allah awarehemu wote.
Umechanganyikiwa. Mimi sijalaumu kifo. Nimelaumu watu kutuua kwa kutumia vyeo vyao
 
Awamu ya sita sitaisahau hadi nakufa. Imeondoka na roho za marafiki zangu watano eti waliandamani. Wangepekekwa mahakani hukumu si kunyongwa bali faini tu au kifungo cha miezi 6. Lakini yeyee kaelekeza wauliwe. Wazanzibar wana roho mbaya.
Ule unyama haukubaliki...
 
Back
Top Bottom