Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 36,964
- 49,481
Usihalalishe dhulma ya uhai...Pole sana! Kifo ni haki yetu sote tunaoishi. Tofauti ni unakufaje tu!! Allah awarehemu wote.
Usihalalishe dhulma ya uhai...Pole sana! Kifo ni haki yetu sote tunaoishi. Tofauti ni unakufaje tu!! Allah awarehemu wote.
So mlitaka nchi iungue tukiangalia? Mkurugenzi wa Esther Luxury kapoteza 2 Billion mlitaka wangapi nao wapoteze?Usihalalishe dhulma ya uhai...
Aliyeiunguza ni nani?So mlitaka nchi iungue tukiangalia? Mkurugenzi wa Esther Luxury kapoteza 2 Billion mlitaka wangapi nao wapoteze?
SAMIA NI MUUAJISamia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu?
Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya Kagera.
Samia anataka kumhutubia nani? Ili iweje?
Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui? Yeye si anadai ni Mwislamu?
Tunataka miili ya ndugu zetu tukawazike wenyewe.
Anaongea au anahutubia taifa kama nani? Muuaji, Mtekaji, au mbambikizia kesi?
Waliouawa.Aliyeiunguza ni nani?
Nani anaiunguza na nyie ni nani mnaosema hivyo?So mlitaka nchi iungue tukiangalia? Mkurugenzi wa Esther Luxury kapoteza 2 Billion mlitaka wangapi nao wapoteze?
Mungu akusamehe .Waliouawa.
Hivi seriously zile harakati zenu za tarehe 29 october mlitaka Samia awape busu?Mungu akusamehe .
Sawa Mh Mbowe jiandae kuingia kwenye Tume ya maridhiano kama mjumbe.Hivi seriously zile harakati zenu za tarehe 29 october mlitaka Samia awape busu?
Muuaji asiye na huruma kwa wananchi wake.....Hana sifa za kuwa rais, muuaji mkubwa, na mpumbavu pamoja na mwanawe Abdul. Hana ubinadamu, ameua, amewachoma majeruhi kwenye matanuri ya cementi, ametupa maiti nyingine baharini na kwenye maziwa. Ni muuaji asiye na huruma huyo mama. Hatutakuwa na rais wa ovyo kama huyu mama.Samia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu?
Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya Kagera.
Samia anataka kumhutubia nani? Ili iweje?
Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui? Yeye si anadai ni Mwislamu?
Tunataka miili ya ndugu zetu tukawazike wenyewe.
Anaongea au anahutubia taifa kama nani? Muuaji, Mtekaji, au mbambikizia kesi?
Mbona umekimbia swali? Mlitaka zile harakati za 29 october Samia afurahie na awapongeze kwa busu?Sawa Mh Mbowe jiandae kuingia kwenye Tume ya maridhiano kama mjumbe.
Hakukua na harakati zilizokuwepo zaidi ya mauaji ya kiholela ya raia wasio na hatia.Mbona umekimbia swali? Mlitaka zile harakati za 29 october Samia afurahie na awapongeze kwa busu?
Mauaji holela yalitokana na nini?Hakukua na harakati zilizokuwepo zaidi ya mauaji ya kiholela ya raia wasio na hatia.
Mabomu ya machozi na risasi za mpira zingetosha kabisa dhidi ya waandamanaji wasio na silaha yoyote!.Mbona umekimbia swali? Mlitaka zile harakati za 29 october Samia afurahie na awapongeze kwa busu?