Samia na mapokezi kazini

Samia na mapokezi kazini

Waliopigwa risasi majumbani mwao, na wale vijana waliokuwa wanaangalia mechi ya Arsenal kibanda cha mpira na kupigwa risasi je walichoma miundo mbinu ipi?


-
💔Hatuwajui wote kwa majina, lakini tunawajua kwa uzito wa kilichotokea. Amani iwe juu yao.🙏
Unajuaje kama wahuni hawakukimbilia huko? Mbona mikoa mingi kama Katavi, Njombe au Sumbawanga hawakupigwa risasi? Umelianzisha unalimaliza mwenyewe. Mbona wewe hujapigwa risasi mpaka sasa hivi unapiga mikwala humu jf? Vibaka wanaoiba vitu vidogo mnawachoma moto...kima nyie mlitaka polisi wawaangalie tu ili waanze kuja kutubakia watoto na wake zetu ndani?
 
Empty smiles,soulless.32M votes. matukio yote indoor kama mashindano ya futsal
 
Atakuja kufa kifo kibaya sana huyo shetani wenu. Roho zote alizoziondoa hapa duniani kwa uonevu na ukatili mkubwa, zitakuwa zinamlilia tu kwenye kila kona wa kaburi lake.
Karibu na wewe, ili uongeze idadi ya roho zitakazomlilia!
 
Walikuwa wanatafuta nini eneo la maandamano? Kwani walioandamana waliwekwa alama maalum ya utambuzi? Haya najua utanambia walifuatwa majumbani...mbona wewe hukufuatwa wakumalize ? Acheni propaganda next time Mange asiwashikie akili roho haina spare
Thread 'Sheikh Sharifu Majini amezikwa leo Novemba 5 makaburi ya Kisutu, baada ya kupigwa risasi oktoba 29'

 
Kapendeza mpendwa wetu🙏🏻🙏🏻

Ooohovyoo
 
Unajuaje kama wahuni hawakukimbilia huko? Mbona mikoa mingi kama Katavi, Njombe au Sumbawanga hawakupigwa risasi? Umelianzisha unalimaliza mwenyewe. Mbona wewe hujapigwa risasi mpaka sasa hivi unapiga mikwala humu jf? Vibaka wanaoiba vitu vidogo mnawachoma moto...kima nyie mlitaka polisi wawaangalie tu ili waanze kuja kutubakia watoto na wake zetu ndani?
Yatakukuta tu, uzuri ni kwamba waliofanya mauaji hawakuangalia huyu ni chawa au sio chawa, huyu kada wa CCM ama sio kada wa CCM, bali walifyatua risasi kwa yeyote yule wanayemuona mbele yao. Ndio maana haiwezi kushangaza kusikia mtangazi wa Clouds, ama shekh Sharif ambaye alipiga dua zito na vijana wake kabla ya uchaguzi kwaajili kumuombea SSH akiishia kupigwa risasi. Hakuna aliye salama kwasasa endelea kuona waliokufa ni wajinga na wahalifu.


-
💔Hatuwajui wote kwa majina, lakini tunawajua kwa uzito wa kilichotokea. Amani iwe juu yao.🙏
 
Dah nimekumbuka sana Magufuli alivyoanza kazi kwa kuwatembelea na kuwanyoosha TRA
 
Yatakukuta tu, uzuri ni kwamba waliofanya mauaji hawakuangalia huyu ni chawa au sio chawa, huyu kada wa CCM ama sio kada wa CCM, bali walifyatua risasi kwa yeyote yule wanayemuona mbele yao. Ndio maana haiwezi kushangaza kusikia mtangazi wa Clouds, ama shekh Sharif ambaye alipiga dua zito na vijana wake kabla ya uchaguzi kwaajili kumuombea SSH akiishia kupigwa risasi. Hakuna aliye salama kwasasa endelea kuona waliokufa ni wajinga na wahalifu.


-
💔Hatuwajui wote kwa majina, lakini tunawajua kwa uzito wa kilichotokea. Amani iwe juu yao.🙏
Kwani wewe ni kada? Mbona hujafa ...jibu ni hukuthubutu kutoa pua nje ulijificha baada ya kukoleza Moto mitandaoni 😭 huku ukijua fika wale waliopata zero necta wataingia mkenge , wakachome Mali za watu
 
Karibu na wewe, ili uongeze idadi ya roho zitakazomlilia!
Siyo kwamba nikukaribishe kwanza wewe chawa wake ili uwe roho yangu ya kwanza kunililia, kabla ya kuongeza roho ya pili kwa huyo shetani wako!
 
Siyo kwamba nikukaribishe kwanza wewe chawa wake ili uwe roho yangu ya kwanza kunililia, kabla ya kuongeza roho ya pili kwa huyo shetani wako!
In short,
Kila serikali duniani hutambua maandamano! Na chadema imewahi kufanya hayo maandamano kila mkoa!
Lakini hakuna serikali inaweza waonyesha meno wavamizi, vibaka na waharibifu wa mali za umma! Kama kuna serikali kama hyo duniani basi ni takataka ya serikali..
Basi kavunje tena hayo maduka!
 
In short,
Kila serikali duniani hutambua maandamano! Na chadema imewahi kufanya hayo maandamano kila mkoa!
Lakini hakuna serikali inaweza waonyesha meno wavamizi, vibaka na waharibifu wa mali za umma! Kama kuna serikali kama hyo duniani basi ni takataka ya serikali..
Basi kavunje tena hayo maduka!
Safari ijayo maduka yenu yataachwa. Ila nyinyi wenyewe na familia zenu ndiyo mtakuwa the most wanted. Mdogo mdogo mpaka tutaheshimiana tu
 
Back
Top Bottom