Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 2,564
- 7,326
Eti wadao mimi sijaona mgombea mwingine wa Urais akifanya Kampeni, Je nauliza Samia anashindana na nani?
Au watu Millioni 60 nchi nzima hakuna mtu anayeweza kuchuana na Samia. Maana kuanzia kwenye vikao vya CCM Samia hakupata mshindani, tumekuja kwenye Kampeni bado hatuoni mshindani wake.
Sasa maana ya demokrasia ni nini, mfumo wa vyama vingi una kazi gani, kama mtu anagombea peke yake... si bora turudi kwenye utawala wa kifalme tu, tumchague Samia kuwa Malkia wa Tanzania tujue moja. Maana malkia au mfalme ndio hawanaga upinzani. CCM imekuwa kama ufalme uliofunikwa na kivuli cha demokrasia
Au watu Millioni 60 nchi nzima hakuna mtu anayeweza kuchuana na Samia. Maana kuanzia kwenye vikao vya CCM Samia hakupata mshindani, tumekuja kwenye Kampeni bado hatuoni mshindani wake.
Sasa maana ya demokrasia ni nini, mfumo wa vyama vingi una kazi gani, kama mtu anagombea peke yake... si bora turudi kwenye utawala wa kifalme tu, tumchague Samia kuwa Malkia wa Tanzania tujue moja. Maana malkia au mfalme ndio hawanaga upinzani. CCM imekuwa kama ufalme uliofunikwa na kivuli cha demokrasia