technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,563
- 57,888
Kipindi Cha Nyerere wasomi walisoma kuja kulitumikia Taifa kweli kweli na Nyerere aliwatumia baada ya kuwasomesha nje
Mwinyi,Mkapa, Kikwete the same
Magufuli ndio usiseme alifuata ma professor mpaka vyuoni Udsm na Mzumbe.
Ndalichako
Kabudi
Kijazi
Mfugale
Mawaziri CV zilishiba kweli kweli watu wazima kwa vijana walipiga kazi.
Sasa waziri mkuu na Makamo wa Rais wanamkimbia!!
Sasa Samia mawaziri wake hawaeleweki
Wasaidizi wake hawaeleweki
Anachukua tu vibabu wenye Umri wake ndio hao wanamkimbia.
Tatizo Nini maana yake baada ya uchaguzi serikali itaongozwa na magenge ya wafoji vyeti na wauni wengine Kama wakina Bashite, sabaya, chief Godlove, hamonaze, shilole na madj?
Serious kabisa mnategemea accountability hapa
Samia must go!!
Mwinyi,Mkapa, Kikwete the same
Magufuli ndio usiseme alifuata ma professor mpaka vyuoni Udsm na Mzumbe.
Ndalichako
Kabudi
Kijazi
Mfugale
Mawaziri CV zilishiba kweli kweli watu wazima kwa vijana walipiga kazi.
Sasa waziri mkuu na Makamo wa Rais wanamkimbia!!
Sasa Samia mawaziri wake hawaeleweki
Wasaidizi wake hawaeleweki
Anachukua tu vibabu wenye Umri wake ndio hao wanamkimbia.
Tatizo Nini maana yake baada ya uchaguzi serikali itaongozwa na magenge ya wafoji vyeti na wauni wengine Kama wakina Bashite, sabaya, chief Godlove, hamonaze, shilole na madj?
Serious kabisa mnategemea accountability hapa
Samia must go!!