Mdogo wetu mambo si mambo
Aston Villa vs. Chelsea
dakika ya 15, bila bila
Ally Samatta hayumo
Mtangazaji kasema namba yake imechukuliwa na Keinan Davis, in case you are wondering where he is
Mdogo wetu mambo si mambo
Aston Villa vs. Chelsea
dakika ya 15, bila bila
Ally Samatta hayumo
Mtangazaji kasema namba yake imechukuliwa na Keinan Davis, in case you are wondering where he is
Hilo jina la Mbwana wazungu linawapa toka akiwa Genk, so wanatumia zaidi ya Ali SamattaAlly samatta ni baba yake mbwana samatta, kama unamaanisha baba yake mbwana ally samatta kwel hatopangwa kamwe kwasababu Aston villa wamemsajili Mbwana Ally Samatta na sio Ally samatta