ukara
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 285
- 168
Samaki hao watoka majini kwenda kuwaona ndugu zao wa sokoni. Wadai kuwa kuendelea kunyamaa kunawaongezea ndwele.
Kwa sauti moja wanapaza sauti zao wakisema "Tumenyanyaswa kiasi cha kutosha, Tumeonewa kiasi cha kutosha, Tumepuuzwa kiasi cha kutosha, Tumedharauliwa kiasi cha kutosha, Tumedharirishwa kiasi cha kutosha, Tumenyonywa kiasi cha kutosha, Tumeumizwa kiasi cha kutosha, Tumeuawa kiasi cha kutosha, Tumedhihakiwa kiasi cha kutosha na Tumedanganywa kiasi cha kutosha. Unyonge wetu ndio uliosababisha haya yote." Lakini swali la msingi ni "Nani anajali kilio chao? Nani asimame apaze sauti kwa niaba yao ili sauti hiyo ipenye katika kuta nzito za masikio ya watesi wao? Nani anajali?" Kweli kilio cha Samaki machozi yamekwenda na maji
Kwa sauti moja wanapaza sauti zao wakisema "Tumenyanyaswa kiasi cha kutosha, Tumeonewa kiasi cha kutosha, Tumepuuzwa kiasi cha kutosha, Tumedharauliwa kiasi cha kutosha, Tumedharirishwa kiasi cha kutosha, Tumenyonywa kiasi cha kutosha, Tumeumizwa kiasi cha kutosha, Tumeuawa kiasi cha kutosha, Tumedhihakiwa kiasi cha kutosha na Tumedanganywa kiasi cha kutosha. Unyonge wetu ndio uliosababisha haya yote." Lakini swali la msingi ni "Nani anajali kilio chao? Nani asimame apaze sauti kwa niaba yao ili sauti hiyo ipenye katika kuta nzito za masikio ya watesi wao? Nani anajali?" Kweli kilio cha Samaki machozi yamekwenda na maji