Nasema hivi sasa inatosha

Nasema hivi sasa inatosha

ukara

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
284
Reaction score
168
Tumenyanyaswa kiasi cha kutosha
Tumedharauliwa kiasi cha kutosha
Tumepuuzwa kiasi cha kutosha
Tumedhihakiwa kiasi cha kutosha
Tumefukarishwa kiasi cha kutosha
Tumedhalilishwa kiasi cha kutosha
Tumeonewa kiasi cha kutosha
Tumenyonywa kiasi cha kutosha
Tumefanywa kichwa cha mwendawazimu kiasi cha kutosha
 
Tumenyanyaswa kiasi cha kutosha
Tumedharauliwa kiasi cha kutosha
Tumepuuzwa kiasi cha kutosha
Tumedhihakiwa kiasi cha kutosha
Tumefukarishwa kiasi cha kutosha
Tumedhalilishwa kiasi cha kutosha
Tumeonewa kiasi cha kutosha
Tumenyonywa kiasi cha kutosha
Tumefanywa kichwa cha mwendawazimu kiasi cha kutosha
Naam sasa basi, ni mashirikiano yenye faida tu. Win win situation.


Mama anaupiga mwingi:

1686338491608.png
 
Kuweni wapole watanganyika,muungano huu ushaharimua maisha ya wazanzibar wengi,kaeni kwa kutulia
 
Hakika sasa basi, wameshatuharibia sana kule tulipotoka, tusiwaruhusu watuharibie tena, inatosha, iwe fundisho kwao, wajue hawaongozi kondoo, tuna akili zetu zaidi yao.
 
Tumenyanyaswa kiasi cha kutosha
Tumedharauliwa kiasi cha kutosha
Tumepuuzwa kiasi cha kutosha
Tumedhihakiwa kiasi cha kutosha
Tumefukarishwa kiasi cha kutosha
Tumedhalilishwa kiasi cha kutosha
Tumeonewa kiasi cha kutosha
Tumenyonywa kiasi cha kutosha
Tumefanywa kichwa cha mwendawazimu kiasi cha kutosha
Ni unyonge wetu uliotufanya tuwe hivyo, ili tusiendelee kuwa wanyonge, kusema tuu imetosha hakutoshi, kunnahitajika action!, Watanzania sio watu wa vitendo, actions, ni watu wa maneno maneno matupu na vitendo sifuri.
P
 
Ndo hapo nakumbuka wimbo wa ROMA "Nipeni Maua Yangu"
 
Ni unyonge wetu uliotufanya tuwe hivyo, ili tusiendelee kuwa wanyonge, kusema tuu imetosha hakutoshi, kunnahitajika action!, Watanzania sio watu wa vitendo, actions, ni watu wa maneno maneno matupu na vitendo sifuri.
P
Brother Mayala huwa naamini sana artcle zako je...? Ni kweli hizi bandari zina pigwa...??? Na kama ni kweli vipi tufanye
 
Ni unyonge wetu uliotufanya tuwe hivyo, ili tusiendelee kuwa wanyonge, kusema tuu imetosha hakutoshi, kunnahitajika action!, Watanzania sio watu wa vitendo, actions, ni watu wa maneno maneno matupu na vitendo sifuri.
P
Ongoza wewe hizo actions, kaa kabisa mstari wa mbele wengine wafuate.

Naamini wewe Si mrundi hivyo yanakuhusu.
 
Back
Top Bottom