Samaki wa ajabu jamani huyooooooooooo

Wanadamu tungelikuwa hivi, hakika tungalijua huyu wa Kigogo na huyu wa Masaki...maana kila kitu tumboni kingelikuwa dhahiri...
 
..anaonekana mtamu sana,huku kwetu mwanakwerekwe wanapatikana kweli hawa...?? ngoja nienda kuwasaka...
 
Wanadamu tungelikuwa hivi, hakika tungalijua huyu wa Kigogo na huyu wa Masaki...maana kila kitu tumboni kingelikuwa dhahiri...


Mkuu kwa huyu samaki tumboni hukuonekani ni transparent....sasa udhahiri wa tumbo la vigogo utatoka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…