Samaki Samaki na "Reserved tables"…

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,967
Kuna hii tabia ya RESERVED, unaingia kula bata unakutana na meza 5 zote Reserved na hakuna pa kukaa, huu ni ubaguzi kwa sisi wateja wenu, ipo siku tutawaachieni na hao watu wenu.

Tafuteni mbinu nyingine isiyoonesha ubaguzi wa wazi hivi, mimi nimewahi anatunziwa aliyechelewa, hii si sawa.
 
Mkuu hata wewe unaweza reserve meza yako mapema kabisa hata sio gharama kama mpo hata wa5 mna piga sim mnawekewa. Niko samaki samaki ya masaki upo wapi niko na pisi kali nikupe hata 1 jamaa yangu au utalalamika huna hela?[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…