Mimi ninaye mmoja akiona wageni anakuwa kichaa japo anajua kuwa wakitoka atapata kipigo. Sijui huwa ni kwa nini.
Hizo ndiyo tabia za watoto wakiona wangeni nao wanataka waonekane wapo,tena ndiyo sarakasi zinazidi miaka 3 mpaka 6
Mimi ninaye mmoja akiona wageni anakuwa kichaa japo anajua kuwa wakitoka atapata kipigo. Sijui huwa ni kwa nini.
Wanaaibisha sana. Mgeni anaweza kufikiri kuwa umewadekeza kumbe siyo.Hizo ndiyo tabia za watoto wakiona wangeni nao wanataka waonekane wapo,tena ndiyo sarakasi zinazidi miaka 3 mpaka 6
Mpe kipigo hapo hapo anapojitoa ufaham kesho harudii akijisahau pale pale anakumbuka kipigo lazima atakuangalia usoni, akikuangalia kunja uso uone atakavyovunga halafu timua nje. Hiyo Ni tiba tosha kwa hawa binadam, nakuhakikishia harudii, wageni wakijidai kumtetea waambie ukweli mkitoka hapa mtasema nalea Mtoto vibayaMimi ninaye mmoja akiona wageni anakuwa kichaa japo anajua kuwa wakitoka atapata kipigo. Sijui huwa ni kwa nini.
Labda umri umesogea lakini sio kuokokageneral galadudu umeokoka?
Kupiga watoto mbele ya wageni siyo vizuri.Mpe kipigo hapo hapo anapojitoa ufaham kesho harudii akijisahau pale pale anakumbuka kipigo lazima atakuangalia usoni, akikuangalia kunja uso uone atakavyovunga halafu timua nje. Hiyo Ni tiba tosha kwa hawa binadam, nakuhakikishia harudii, wageni wakijidai kumtetea waambie ukweli mkitoka hapa mtasema nalea Mtoto vibaya
Kwa Nini umpige mkeo? Siku hizi watu hawapigani Ni kuwekana sawaMungu anisaidie nisimpige mke wangu mpaka siku nakufa.
Sorry mkuu - kuna thread ya my wife wangu pia inaendelea. Ndio maana kikachanganya na hii.Kwa Nini umpige mkeo? Siku hizi watu hawapigani Ni kuwekana sawa
Mkuu malezi ya Mtoto ni magumu Sana, hivyo inategemea na uelewa wa Mtoto, huyu wako anajua kabisa humfanyi kitu hadi wageni waondoke ndio maana anajichengueKupiga watoto mbele ya wageni siyo vizuri.
Adhabu kwa mtoto ni lazima iwe na kiwango. Kumpiga sana mtoto kunampunguzia self-esteem. Na anapokuwa mkubwa anakosa kujiamini. Hawezi kusimama mbele ya watu na kujieleza bila kutetemeka.Mkuu malezi ya Mtoto ni magumu Sana, hivyo inategemea na uelewa wa Mtoto, huyu wako anajua kabisa humfanyi kitu hadi wageni waondoke ndio maana anajichengue