Samaki mkubwa aonekana kisiwani Pemba

Samaki mkubwa aonekana kisiwani Pemba

Subiri mziki wake watatoka ukurutu mpaka kwenye matusi
 
Kesho huku maitelin tutauziwa san nimofu ya samaki kam.kwel.ni pemba natagemea wataleta mpka feri kazi ipoo
 
Sharia za uchinjaji zimezingatiwa? I mean, samaki amegeuziwa kibra, au wanajikatiakatia hovyo tu?
 
Nini kimewadhuru hawa samaki? Hivi majuzi tukio kama hili mtwara.
 
Watakuwa wanatafuta ambari(kinyesi cha nyangumi)...nasikia ni mali mno
 
Back
Top Bottom