Hawa samaki ziwa victoria nadhani walishapotea mara ya mwisho niliwaona miaka ya 80, GOGO, NINGU, SOGA, Wengine niwataje kwa majina ya kilugha kama NEMBE, NGELE hizo jamii zote kwa maeneo ya ziwa ukanda Musoma, Mwanza na UKEREWE hawapatikani tena sijui kwa upande wa BUKOBA. Gogo simjui kwa jina lingine zaidi ya hilo,