ROGERSHINE
Senior Member
- Aug 15, 2012
- 129
- 82
Ndugu wana jf,mnamo mwezi uliopita niliandika topic yenye kichwa 'institute of financing more unemployment problem',samahani kwa wale ambao niliwakwaza kwa hiyo post yangu,sikuwa na nia mbaya just nilitaka kuwatania na kuwachemsha watani wangu wa ifm,samahani kwa waliojisikia vibaya kwa hiyo post na usumbufu wowote uliojitokeza,vyuo vyote bongo ni sawa chamsingi ni kukomaa tu
ni hayo tu ndugu zangu wapendwa wa ifm,karibuni mi nipo pale sokoine university of agriculture
ahsanteni saana
ni hayo tu ndugu zangu wapendwa wa ifm,karibuni mi nipo pale sokoine university of agriculture
ahsanteni saana