Mnasemaje kapotea? Huenda kaahidiwa donge nono na longer term contract. Pia kule yupo karibu kabisa na uDC. Sometimes kuna watu wanaweka fame pembeni na kujiangalia future yao.
Acheni unafiki akienda huko inakupunguzia kitu gani kwenye familia yako. Mind your own bussiness mmekalia kujadili mambo ya watu badala ya kushughulikia mambo yenu
Good but illogical example...Shule na Media Industry ni vitu viwili tofauti. Kuna faida kuwa mwalimu wa FEZA bila mshahara au mazingira mabovu ya kazi? Ajira ya Uhakika inakupa Amani ya Moyo na Utulivu wa Akili wa Kufanya mambo makubwa zaidi.Still namsapoti kwa maamuzi yake.