Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

Kuna Dada Namfahamu yupo hapo Itv anatangazaga habari usiku saa Mbili, Ukimuona Kwenye TV unaweza dhani analipwa pesa ndefu lakini anaishi tabata vyumba viwili, madeni Kila kona yamemuandama watu Haya hawayafahamu. Itv wanatengeneza waandishi maskini wenye Majina makubwa. Bora Hata clouds FM.
 
Ndo ukweli wa mambo
 
Farhia middle
 
Wewe ni nani katika Taifa hili mpaka usipofungua hiyo chaneli kuathiri maisha ya Sam Mahela au wengine!?
Acha Unafiki PAMBANA na hali yako. Hapo ulipo bundle unategemea kutoka kwa danga, halafu mipovu inakububujika kama mashine ya kufulia mashuka ya wagonjwa Muhimbili. Pathetic!
 
Hana lolote alikuwa akihoji MTU anamuuliza swali moja anamuachia MTU ajieleze nusu SAA kama hotuba!
 
Haaa!ndo maana simuonagi kwenye kile kipindi cha dk45 kumbe amehama jamani saam
 
Huyo anajiandaa kufikiriwa nafasi za juu serikalini , ndiyo anajisogeza karibu
 
Wabongo unafiki umewajaa!.. Mtu aafanya kazi penye maslahi!. Kama analipw vizuri na security ya kazi ipo kwanini asihame!?.
Wanasiasa tu wanahama iweje mwanahabari asiweze!
 
Sasa huyu nae kafuata nini huko?
Huko ndio kwenyewe kama hujui. Kuna improvement kubwa sana. Sam Mahela baba Piga kazi. Uzalendo kwanza. afi sana. Kuna watu wamekalia kuangalia Vyombo binafsi wakipitwa na fursa wanakuja kulalamikia Serekali! Sam Mahela hapa una nafasi ya kuendelea sio vyombo binfsi mtu unakuwa kwenye hiko cheo miaka nenda rudi! Kama nasema uongo nina kidhibiti chja chombo fulani muwakilishi wake tangu nimfahamu yuko hapohapo miaka nenda rudi nilimfahamu 1998- sasa sina uhakika alianza kutangazia chombo hicho lini. Sam usiwe na wasiwasi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…