Kwa mtu ambaye ameshafanya kazi media za Bongo sidhani kama anaweza mlaumu Sam kama unavyofanya wewe.Licha ya kuwa ni mtangazaji Mahela pia ni baba wa familia.Maisha ya Media Tanzania yanajulikna...mfano ile TV ya kanda ya ziwa unaweza ukakaa miezi 5 hujalipwa,sasa ukiitwa TBC ambako mshahara 95% ni uhakika unaanzaje kukataa?Leo katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku nimemuona mshikaji aki report kutoka TBC1
Mshikaji sasa kapotea wazi wazi.
Unatoka FEZA school unaenda kufundisha Tandahimba Kayumba school eti kisa ni ajira ya uhakika !Ni ukweli usiopingika kwamba ITV imekuwa ikitoa watangazaji mahiri lakini pia ni ukweli usiopingika kwamba huenda pia maslahi hayakua mazuri na ndio maana unaona wimbi kubwa la wao kuhamia vituo vingine. Nani asiyependa maisha mazuri?
Security ilikua enzi hizo.Inasemekana ajira za serikali zina security ya kazi. Labda kaona bora aende kupata huo usalama.
Alikiharibu sana hicho kipindiKipindi cha 45 mn.
Gabriel Zakaria alikuwaga Star tv kabla ya kuja TBC, vp jamaa ni mnoko au?Atalikuta li Gabriel Zakaria huko cha moto atakiona, aende amwulize Barwaan Muhuza!!
OkSecurity ilikua enzi hizo.
Nowadays hio kitu hamna kabisa. Tumbua tumbua hii haitawaacha salama wasiowajibika! Wenzao akina Fatma Almasi na Rehema Salim wanaenda Azam tv (digital), wao wanarudi analog (TBC1)
Anataka nae aje kuwa diwaniLeo katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku nimemuona mshikaji aki report kutoka TBC1
Mshikaji sasa kapotea wazi wazi.
TBC1 hawalipi mishahara? Au kupotea kupi?Leo katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku nimemuona mshikaji aki report kutoka TBC1
Mshikaji sasa kapotea wazi wazi.
Kwahiyo ITV ndio wanalipa vizuri?Swali mujarab..
Security ni kulipwa "viji pesa" kwa miaka mingi ukiwa na uhuru ni mwingi na ukistaafu unapata pensheni ingawa inflation inafanya thamani ya ulichopewa iwe chini na nguvu ya kazi huna ushazeeka;
Au security ni kufanya kazi ya kasi na viwango yenye targets attached uzifikie ndani ya muda flani huku ukilipwa vizuri na baada ya muda mkataba uishe??
Kila mtu na jibu lake...kupanga ni kuchagua!
Hadi umejadili humu jua kuna mtu kamuona kupitia TBC1, so ulitaka aende TV unayoangalia wewe?Bora angeenda Azam au hata star Tv huko alipoenda naweza pita miaka 2 sijafungua hiyo channel sababu vipindi vinaboa taarifa zao picha sio clear yaani ni yakizee haswaaa mara ya mwisho kuangalia Tbc kipindi cha chereko kilipokuwa hot mtangazaji sijui glory nani alivyotoka yule mtangazaji nikapotea na mie Sam hukuona nafasi hata Efm au TV1 kweliiii au ungeenda hata sibuka tv
Umesema kweli mkuu..tatizo wengine wanaangalia kwenye nyanja za umaarufu labda na ndio tatizo sugu tulilonalo kwa kuenda kazi zenye attention alafu wanaacha kazi nzuri ambazo hazina attention kwenye jamii ila zina hela za kutosha kabisa bila zengweAcheni unafki Kila mtu anapofanya kazi anaangalia Maslahi yake binafsi pengine Huko Itv hakuwa na mkataba Wa kudumu. Watu mshaingiza siasa duh.......
Kabisa Mkuu na wengi wenye Akili hiyo ni vijana ambao bado wanalishwa kwao Au anasubir bum litoke afanyie nalo Laana bado Hawajajua maisha vizuri. Km mtu Unayejitafutia ugali wako mwenyewe huwezi mshangaa jamaa Kwa maamuzi aliyoyachukua. Bora mtu usiwe maarufu lakini bank balance inasoma kuliko umaarufu njaa ambao watanzania wengi ndio wanao.Umesema kweli mkuu..tatizo wengine wanaangalia kwenye nyanja za umaarufu labda na ndio tatizo sugu tulilonalo kwa kuenda kazi zenye attention alafu wanaacha kazi nzuri ambazo hazina attention kwenye jamii ila zina hela za kutosha kabisa bila zengwe