Stabilaiza
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 1,843
- 1,143
Nampa saluti Mh. Godbless Lema aliyepambana kuhakikisha kuwa Mwigamba anadhibitiwa wakati wa mkutano wa CHADEMA na laptop yake ikadukuliwa ili kuonyesha mipango ovu ya Mwigamba, Zitto na Kitila kutaka kuigeuza CHADEMA kutoka chama kikuu cha upinzani na mtetezi wa wananchi kuwa tawi la CCM.
Mipango ya wasalitii ilikuwa na nia ya kudhoofisha harakazi za kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi CCM na kuwapatia uhuru na maendeleo ya kweli wananchi wa Tanzania.
Juhudi za Lema zimesaidia wasalitii hao kugundulika na kujiunga rasmi na CCM kupitia tawi lao la ACT-Wazalendo. Kama isingekuwa ujasili wa Lema, leo hii CHADEMA ingekuwa tawi la CCM, kama ilivyo ACT-Wazalendo.
Sasa ni wajibu wa UKAWA na CHADEMA kupanda majukwaani kwa nguvu zote ili kuwafahamisha wananchi wengi wa Tanzania kuwa ACT-Wazalendo ni tawi la CCM wala siyo chama cha upinzani.
Itakuwa kosa kubwa ikiwa UKAWA na Chadema watachulia poa propaganda za ACT-Wazalendo kuwa ni chama cha upinzani kumbe ni tawi la CCM.
UKAWA na CHADEMA watumie nguvu ileile waliyotumia kuwaelezea wananchi kuhusu uzuri wa rasmu ya pili ya katiba ya Warioba, na ubaya wa rasmu ya CCM yaani katiba pendekezwa, kuwaeleza kuwa ACT-Wazalendo ni CCM, na kwamba vyama vya upinzani ni CHADEMA na umoja wa UKAWA.
Wasipofanya hivyo, upotoshaji wa ACT-Wazalendo utaendelea na CCM watahuishwa na ACT-Wazalendo, na inaweza kuwafanya UKAWA na CHADEMA kutumia nguvu kubwa zaidi baadaye kuondoa upotoshaji wa ACT-Wazalendo kuliko kama wakifanya mikutano sasa kuwaeleza wananchi rangi halisi ya ACT-Wazalendokuwa ni tawi la CCM.
Mipango ya wasalitii ilikuwa na nia ya kudhoofisha harakazi za kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi CCM na kuwapatia uhuru na maendeleo ya kweli wananchi wa Tanzania.
Juhudi za Lema zimesaidia wasalitii hao kugundulika na kujiunga rasmi na CCM kupitia tawi lao la ACT-Wazalendo. Kama isingekuwa ujasili wa Lema, leo hii CHADEMA ingekuwa tawi la CCM, kama ilivyo ACT-Wazalendo.
Sasa ni wajibu wa UKAWA na CHADEMA kupanda majukwaani kwa nguvu zote ili kuwafahamisha wananchi wengi wa Tanzania kuwa ACT-Wazalendo ni tawi la CCM wala siyo chama cha upinzani.
Itakuwa kosa kubwa ikiwa UKAWA na Chadema watachulia poa propaganda za ACT-Wazalendo kuwa ni chama cha upinzani kumbe ni tawi la CCM.
UKAWA na CHADEMA watumie nguvu ileile waliyotumia kuwaelezea wananchi kuhusu uzuri wa rasmu ya pili ya katiba ya Warioba, na ubaya wa rasmu ya CCM yaani katiba pendekezwa, kuwaeleza kuwa ACT-Wazalendo ni CCM, na kwamba vyama vya upinzani ni CHADEMA na umoja wa UKAWA.
Wasipofanya hivyo, upotoshaji wa ACT-Wazalendo utaendelea na CCM watahuishwa na ACT-Wazalendo, na inaweza kuwafanya UKAWA na CHADEMA kutumia nguvu kubwa zaidi baadaye kuondoa upotoshaji wa ACT-Wazalendo kuliko kama wakifanya mikutano sasa kuwaeleza wananchi rangi halisi ya ACT-Wazalendokuwa ni tawi la CCM.