johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Wengi tunaamini Chadema Ndio Chama tawala mbadala lakini cha ajabu Wakongwe wake waliohamia CCM wanafeli sana.
Waziri wa sasa wa Uchumi Ndio alikuwa think tank wa Chadema na baadae ACT wazalendo lakini hali tuliyonayo Ndio hii hasa Umeme, Sukari, Dollar, Maji na Bima ya Afya
Chadema mjitafakari Sana nadhani mmeelewa
Mlale unono 😀🔥
Waziri wa sasa wa Uchumi Ndio alikuwa think tank wa Chadema na baadae ACT wazalendo lakini hali tuliyonayo Ndio hii hasa Umeme, Sukari, Dollar, Maji na Bima ya Afya
Chadema mjitafakari Sana nadhani mmeelewa
Mlale unono 😀🔥