Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,487
Kwa taarifa yako namba moja ni wizara ya Ujenzi...hutaki jiueHuna ushahidi unaropoka? Pumbavu!!!
Kwa taarifa yako namba moja ni wizara ya Ujenzi...hutaki jiueHuna ushahidi unaropoka? Pumbavu!!!
Ngoja niwasiliane na Askofu Gwajima awakumbushe kuhusu Ni. Kidude. Na safari hii msikasilike. Ahahahahahahah!Umeisoma Taarifa na kuielewa kweli Mkuu ,au umesombwa na unazi kama bi Mwantum wa Uswaz !!?
Akiuweka hadharani huo ushahidi ni tag!Huwezi kumpangia mtu afanye kitu utakavyo wewe!! Amedokeza tu kuwa linasemwa hilo. Kama ni uongo, hakuna madhara. Kama ni kweli, ameahidi kuleta ushahidi. Mbona limekuchoma hivyo?!! Hahahaha.........siasa huziwezi ndugu. Huna ngozi ngumu imstahilivyo mwanasiasa!!!!
Kama ataukamilisha na kuutoa hadharani, ni tag tafadhali!
Tanzania hatuna Wizara ya Ujenzi. Ebu iandike kwa usahihi bibie.Kwa taarifa yako namba moja ni wizara ya Ujenzi...hutaki jiue
Ulihakiki ulichoandika kabla ya kupost dogo?Sasa kama ndivyo ni kwa nini hukuwaza hivi mwanzo kabla ya kupayuka ?
Sasa na hiyo ni sera ya chama au? Chadema wamekuwaje jamani?waswahili wanasema ukikosa hela ukiitwa bar kila mwanaume mwenzako unamwita kiongozi ili akununulie bia ha ha chadema kuweni wanaume leteni sera bambav
Mbowe amekula hadi michango ya hela za Corona na ile ya maafa ya tetemeko KageraMaskini huyu naye amenyoosha kidole tumuone alipo! Mbowe ana akili sana yupo zake na mhasibu wa chama na afisa ugavi wanarekebisha mahesabu ya matumizi ya kampeni!
Polepole na Bashiru wamewatuma waje kujibu hoja humu na hizo account wanazijua, hivyo wanacho fanya ni kuangalia account yako leo umeitetea ccm mara ngapi ndio unapewa buku saba yako.Ukisoma michango ya watu kwenye hii mada lazima uamini kuna watu wanalipwa ili tu kujibu ujinga.
Ulihakiki ulichoandika kabla ya kupost dogo?
CHADEMA wanafanya vyote, wanatoa sera pamoja na kuuanika upuuzi wa CCM
Mbowe amekula hadi michango ya hela za Corona na ile ya maafa ya tetemeko Kagera
Sent from my itel W5504 using JamiiForums mobile app
Siwezi kujibu uropokaji dogo!Haujajibu nilicho kuuliza ,pia haunijui sikujui utaniitaje dogo.Jikite katika unacho kitetea .
Mkuu siwezi kubisha kama ni hivi.Polepole na Bashiru wamewatuma waje kujibu hoja humu na hizo account wanazijua, hivyo wanacho fanya ni kuangalia account yako leo umeitetea ccm mara ngapi ndio unapewa buku saba yako.
Mambo mazuri hayahitaji harakaHuna ushahidi unaropoka? Pumbavu!!!
Kwahiyo Salum Mwalimu kuleta tuhuma haraka haraka kabla hajazithibitisha ni kuwa haitaji mambo mazuri? Kama ni hivyo, nimekuelewa!Mambo mazuri hayahitaji haraka
Ongeza sauti tutakusikia na kukuelewa.Walivyo minywa mirija kuingiza fwedha chafu wameanza kubwabwaja! Mwambieni mbowe arudishe michango ya wabunge!
Kwani wewe ni mmoja wawahusika,acha wanusika watajitokezaKwahiyo Salum Mwalimu kuleta tuhuma haraka haraka kabla hajazithibitisha ni kuwa haitaji mambo mazuri? Kama ni hivyo, nimekuelewa!