GE2025 Salum Mwalimu: Mpambano wa CCM na CHAUMMA ni Mustakabali wa Maisha yetu siyo Mchezo wa Simba na Yanga

GE2025 Salum Mwalimu: Mpambano wa CCM na CHAUMMA ni Mustakabali wa Maisha yetu siyo Mchezo wa Simba na Yanga

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Nyankumbu, mkoani Geita, Septemba 16, 2025 alisema Mpambano uliopo kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) uchaguzi wa mwaka huu Oktoba 2025 ni wa Mustakabali wa Maisha yetu na siyo kama Mchezo wa Simba na Yanga ambayo ni burudani tu

"Hata ikishinda haikuletei chakula utasononeka wee lakini haikuletei chakula, Simba itashinda tutafurahi haituletei mkate nyumbani, haituletei sukari nyumbani ni burudani tu. Lakani Mpambano wa CCM na CHAUMMA siyo burudani ni Mpambano wa Mustakabali wa Maisha yetu, wa kuchagua njia gani tunataka twende miaka mitano tunataka tuwe wapi kama Taifa, tujiulize, vijana wenzangu tujiulize" amesema Salum Mwalimu

 
Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Nyankumbu, mkoani Geita, Septemba 16, 2025 alisema Mpambano uliopo kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) uchaguzi wa mwaka huu Oktoba 2025 ni wa Mustakabali wa Maisha yetu na siyo kama Mchezo wa Simba na Yanga ambayo ni burudani tu

"Hata ikishinda haikuletei chakula utasononeka wee lakini haikuletei chakula, Simba itashinda tutafurahi haituletei mkate nyumbani, haituletei sukari nyumbani ni burudani tu. Lakani Mpambano wa CCM na CHAUMMA siyo burudani ni Mpambano wa Mustakabali wa Maisha yetu, wa kuchagua njia gani tunataka twende miaka mitano tunataka tuwe wapi kama Taifa, tujiulize, vijana wenzangu tujiulize" amesema Salum Mwalimu

Yan hiki kiserengeti boy cha Esther Matiko ni 🚮🚮🚮🚮 kweli😂
 
Akaunti ya chaumma youtube mbona haipost kampeni
 
Back
Top Bottom