Salum Mwalimu Katibu Mkuu CHAUMMA.

Salum Mwalimu Katibu Mkuu CHAUMMA.

Sasa huyo mama na Salum kuwa katibu wa CHAUMMA kuna uhusiano gani wewe kunguni wa mama?

Sasa ni dalili tosha kujua hiki chama ni mradi mwingine wa CCM kuja kuaminisha watu kulikua na uchaguzi huru.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hiyo ndio habari mpya kuwa Salum mwalimu ateuliwa na halmashauri kuu ya CHAUMMA kuwa katibu Mkuu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kumbe walienda kwa ajili ya vyeo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hiyo ndio habari mpya kuwa Salum mwalimu ateuliwa na halmashauri kuu ya CHAUMMA kuwa katibu Mkuu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu we ni CCM au CHAUMMA sielewi ujue
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hiyo ndio habari mpya kuwa Salum mwalimu ateuliwa na halmashauri kuu ya CHAUMMA kuwa katibu Mkuu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hawa wataendelea kufanya press tu ground wataaibika vibaya mno sio kwa CDM hii ya TAL 🤣🤣🤣
 
Luca kwahiyo mama ndo kafanya Salum kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa Chauma?
Alafu leo umeniangusha mzalendo mwenzangu leo hata tone la chozi halijadondoka? Usimfanyie hivyo mama kwa juhudi alizozifanya leo.
 
dah,
g55 wamejipanga sana aise,

sema wanaenda kupambana na chadema ambayo ni debe tupu tu ya waropokaji watupu vichwani, ambayo hata uchaguzi mkuu wa october hawana sifa na vizo vya kisheria kushiriki :pedroP:
Gentleman kwanini tena wapambane na Chadema wakati wamehamia Chauma ili wakagombee ubunge na udiwani, si wanaenda kupambana na chama dume ccm au?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hiyo ndio habari mpya kuwa Salum mwalimu ateuliwa na halmashauri kuu ya CHAUMMA kuwa katibu Mkuu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
sasa ndio uende huko kuna vyeo sio kila siku mama mama unamaliza tu kuku wako kwa waganga
 
Gentleman kwanini tena wapambane na Chadema wakati wamehamia Chauma ili wakagombee ubunge na udiwani, si wanaenda kupambana na chama dume ccm au?
zingatia maelezo utajionea ninachokisema,
hao wangwana wa chauma na chadema hawafanyagi siasa za maendeleo ispokua siasa za majigambo na visasi tu japo wanapenda mno vyeo na madaraka ila ndio hivyo tena wananchi huwa hawawaelewi kabisa kwenye sanduku la kura :NoGodNo:
 
Back
Top Bottom