PreGE2025 Salum Mwalim: Uchaguzi wa CHADEMA ulikuwa na uongo mwingi sana

PreGE2025 Salum Mwalim: Uchaguzi wa CHADEMA ulikuwa na uongo mwingi sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Aliye kuwa Naibu Katibu mkuu CHADEMA Salum Mwalim Baada ya kutangaza kukiacha chama chake cha CHADEMA amefunguka mengi huku akisema Uchaguzi wa CHADEMA ulikuwa na uongo mwingi sana, rafu zilikuwa nyingi na siasa chafu jambo ambalo lilotia ndoa sana.

Soma Pia: Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA

Huyu mpumbavu ,ni leo chadema na wanachama wake wamemfaya kuonekana, anajua nini husu magereza
 
Aliye kuwa Naibu Katibu mkuu CHADEMA Salum Mwalim Baada ya kutangaza kukiacha chama chake cha CHADEMA amefunguka mengi huku akisema Uchaguzi wa CHADEMA ulikuwa na uongo mwingi sana, rafu zilikuwa nyingi na siasa chafu jambo ambalo lilotia ndoa sana.
Ajibu hoja je ana mwanamke mwenye covid 19?
 
Aliye kuwa Naibu Katibu mkuu CHADEMA Salum Mwalim Baada ya kutangaza kukiacha chama chake cha CHADEMA amefunguka mengi huku akisema Uchaguzi wa CHADEMA ulikuwa na uongo mwingi sana, rafu zilikuwa nyingi na siasa chafu jambo ambalo lilotia ndoa sana.

Soma Pia: Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA

Mmmh🤔🤔

Sikutarajia kabisa kuwa huyu Mzanzibari angeweza kugeuka na kuwa mpumbavu kiasi hiki..

Kama huyu aliweza kujiapiza kuwa, atakuwepo CHADEMA hata iweje, hii U-TURN sio ya kawaida hata kidogo...

Sasa hakuna shaka yoyote kuwa, Freeman Mbowe yumo nyuma ya mkakati huu. Haiwezekani hawa kina John Mrema, Salumu Mwalimu na Benson Kigaila waliokuwa right hands wake wanafanya ujinga huu bila kupata baraka zake...!

Kwa mwenendo huu, kwa hakika sitashangaa na pengine si muda mrefu na yeye Freeman Mbowe atavikana viapo vyake vya miaka mingi alivyokuwa akiapa majukwaani kuwa "atailinda CHADEMA aliyoijenga kwa jasho na damu hadi tone la damu yake ya mwisho" kwa kuichoma moto nyumba (CHADEMA) aliyoijenga mwenyewe kwa gharama zake na kisha kukimbilia kwenda kuishi kwenye pori linaloitwalo CCM...!!!

Duuh, 🤔🤔🤔 kumbe yaweza kuwa ni kweli kuwa, politics is dirty game..
 
Yaani uchaguzi umefanyika live kupitia YouTube na TV kila kitu tumeona anasema ulikiwa uongo?

Je chaguzi za tume ya ccm wanayokwapua masanduku ya kura na kwend nayo misituni kama alivyosema DC wa Longido huyu Salum angesemaje?
 
Salumu mwalimu ni bora akanyamaza tu kuliko kukisakama chama alichokiacha. Hizo ni siasa za kikenge. Unakishambulia chama ulichoishi nacho muda mrefu huo ni ujinga na upumbavu. Anakiponda chama huku anaenda chama kingine. Yeye na wahuni wenzake wameshindwa kuendana na kasi mpya ya chadema ni bora wakawa na heshima na chama hicho kilichowakuza mpaka wakafahamika kisiasa. Wawe makini wasije wakazidi kujiharibia siasa zao kwa wananchi wenye akili kubwa watawaona ni mafala fulani hivi walioshindwa
 
zamani nilikuwa namwona salumu yuko smart kichwani kumbe kenge tu kama yeriko
 
Aliye kuwa Naibu Katibu mkuu CHADEMA Salum Mwalim Baada ya kutangaza kukiacha chama chake cha CHADEMA amefunguka mengi huku akisema Uchaguzi wa CHADEMA ulikuwa na uongo mwingi sana, rafu zilikuwa nyingi na siasa chafu jambo ambalo lilotia ndoa sana.

Soma Pia: Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA

Salim ungeangalia raia kama kiongozi. wao. Salimu uko vizuri japo unpungufu omba radhi uridi chadema utatoka.
 
Aliye kuwa Naibu Katibu mkuu CHADEMA Salum Mwalim Baada ya kutangaza kukiacha chama chake cha CHADEMA amefunguka mengi huku akisema Uchaguzi wa CHADEMA ulikuwa na uongo mwingi sana, rafu zilikuwa nyingi na siasa chafu jambo ambalo lilotia ndoa sana.

Soma Pia: Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA

1746650781075.png
 
Aliye kuwa Naibu Katibu mkuu CHADEMA Salum Mwalim Baada ya kutangaza kukiacha chama chake cha CHADEMA amefunguka mengi huku akisema Uchaguzi wa CHADEMA ulikuwa na uongo mwingi sana, rafu zilikuwa nyingi na siasa chafu jambo ambalo lilotia ndoa sana.

Soma Pia: Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA

Go back to Zanzibar ! You had no impact to the Party! Invisible figure talking like a ghosts!
 
Aliye kuwa Naibu Katibu mkuu CHADEMA Salum Mwalim Baada ya kutangaza kukiacha chama chake cha CHADEMA amefunguka mengi huku akisema Uchaguzi wa CHADEMA ulikuwa na uongo mwingi sana, rafu zilikuwa nyingi na siasa chafu jambo ambalo lilotia ndoa sana.

Soma Pia: Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA

Huyo jamaa kama wale wenzake G-55 ni wazi kabisa ni mercenaries, wasakatonge na wapiga dili!
Lissu kaja kutuonesha wapinzani wa kweli ni kina nani!
Binafsi niliduwazwa 2015 upinzani ulishinda Urais kwa kishindo hata majeshi yalijua hivyo lakini ghafla wakauza pambano!
Things have never been the same since then!
 
Tatizo la team Lisu wanataka wasikilizwe wao tu kama alivyo baba yao,ukiwabishia tu tayari ni ugomvi na wanataka wakufukuze hata hapa JF.Jifunzeni kuheshimu wengine.Sasa hivi hawajua adui yao ni CCM au ni Mbowe au G55 au shetani.Muda mwingi wanapoteza kwenye hasira badala ya kujenga hoja.
 
Huyo jamaa kama wale wenzake G-55 ni wazi kabisa ni mercenaries, wasakatonge na wapiga dili!
Lissu kaja kutuonesha wapinzani wa kweli ni kina nani!
Binafsi niliduwazwa 2015 upinzani ulishinda Urais kwa kishindo hata majeshi yalijua hivyo lakini ghafla wakauza pambano!
Things have never been the same since then!
Hata 2010 mgombea akiwa Dr Slaa alishinda lakini mauzo yalifanyika pasi mgombea kufahamu akiambiwa aendelee na majukumu yake kama Katibu Mkuu wa Chama.
 
Back
Top Bottom